Wauza smartphone tukutane hapa

Hiv humu hakuna utapel kweli? Mana kuna simu nimeiona na hela ipo, shida utapeli mjin hapa..mi niko huku duniani!
matapeli na wasio matapeli wote wamo,
inshu ipo jee utaangukia mikononi mwa yupi? Utamjuajee?

Cha msingi nikujarb kupunguza risk angalau kwa:

kuepuka
1.kununua simu vichochoroni

2.kutuma hela ukatarija kutumiwa simu

3.kununua simu bila kuichunguza(hua wanakuharakisha)

4.kununua simu bila kubaki na kithibitisho chochote cha aliekuuzia na mauziano.

5.Kununua simu ambayo ni nzima lkn muuzaji haitumii(offline), au mwambie aweke laini yake awasiliane na baadhi ya watu wake, akikataa kimbia

6.kununua simu hasa hizi za gharama(high ends)kwa bei chee sana au muuzaji anakuambia exchange allowed bila kuweka conditions zozote(huyu anachotoka simu imuondokee tuu, jiulize kwa nini?) kwa ufupi huyu anauzia simu tatizo sio shida(jitahd uelewe hapo)

7.kununua simu iliyobadilishwa imei,

8.kununua simu iliyo kwenye lock.
N.k n.k..

Yaani kikubwa sio kuuziwa simu fake, mbovua au nini inshu kwa sasa nikuuziwa simu ya wizi halaf wakai trace ukadakwa nayo wewee.... Aloooo utasaga menoo...nina ushahidi na hizi case sanaa, watu wanalizwa sanaaa
 
Aise hivi mpaka leo kuna watu wananunua simu za mkononi kwa dunia ya leo? Mtakuja kupata kesi ambazo hazina dhamana shauri yenu.
 

nauza desktop Computer ya kisasa kabisa monitor hp smart slimm( nyembamba ) kubwa kioo inch 27 cpu( hp) ram 2gb hdd250gb ...vga,powercable,keyboard na mouse vipo... ipo vzuri ni mpya

location Dodoma
bei 370k
IMG_20191016_102416_2.jpeg
IMG_20191016_102412_6.jpeg
IMG_20191016_102311_8.jpeg
 
Nauza samsung galaxy grand prime plus internel memory ni gb 8 ram 1 gb android ni 6.01 ina 4G laini mbili simu ipo kwenye hali nzuri sana bei ni laki na 30 tu fixed


Mawasiliano

0719590756
0692792519
IMG-20191014-WA0009.jpeg
IMG-20191014-WA0012.jpeg
IMG-20191014-WA0004.jpeg
IMG-20191014-WA0006.jpeg
IMG-20191014-WA0007.jpeg
IMG-20191014-WA0003.jpeg
 
Nahitaji earphone za Original kabisa za iphone 6,mwenye nazo ànichek 0625697394,0717281088.
 

nauza desktop Computer ya kisasa kabisa monitor hp smart slimm( nyembamba ) kubwa kioo inch 27 cpu( hp) ram 2gb hdd250gb ...vga,powercable,keyboard na mouse vipo... ipo vzuri ni mpya

location Dodoma
bei 370k
View attachment 1234885View attachment 1234886View attachment 1234887
Naitaka nakupataje
 
Nauza samsung Galaxy A6plus
Ram 3
Internal 32gb
Camera iko poa sana selfie 24
Back 16
Betri inakaa na chaji sana kwa wanaotumia A series watakuwa wanaelewa ninachosema
Bei 370k
Imetumika mwezi moja na wiki mbili kila kitu chake kipo.
20190816_151901.jpeg
 
Nauza kwa sababu nina shida na hela sana nina matatizo serious buyer check me inbox please
Nauza samsung Galaxy A6plus
Ram 3
Internal 32gb
Camera iko poa sana selfie 24
Back 16
Betri inakaa na chaji sana kwa wanaotumia A series watakuwa wanaelewa ninachosema
Bei 370k
Imetumika mwezi moja na wiki mbili kila kitu chake kipo.View attachment 1235831
 
matapeli na wasio matapeli wote wamo,
inshu ipo jee utaangukia mikononi mwa yupi? Utamjuajee?

Cha msingi nikujarb kupunguza risk angalau kwa:

kuepuka
1.kununua simu vichochoroni

2.kutuma hela ukatarija kutumiwa simu

3.kununua simu bila kuichunguza(hua wanakuharakisha)

4.kununua simu bila kubaki na kithibitisho chochote cha aliekuuzia na mauziano.

5.Kununua simu ambayo ni nzima lkn muuzaji haitumii(offline), au mwambie aweke laini yake awasiliane na baadhi ya watu wake, akikataa kimbia

6.kununua simu hasa hizi za gharama(high ends)kwa bei chee sana au muuzaji anakuambia exchange allowed bila kuweka conditions zozote(huyu anachotoka simu imuondokee tuu, jiulize kwa nini?) kwa ufupi huyu anauzia simu tatizo sio shida(jitahd uelewe hapo)

7.kununua simu iliyobadilishwa imei,

8.kununua simu iliyo kwenye lock.
N.k n.k..

Yaani kikubwa sio kuuziwa simu fake, mbovua au nini inshu kwa sasa nikuuziwa simu ya wizi halaf wakai trace ukadakwa nayo wewee.... Aloooo utasaga menoo...nina ushahidi na hizi case sanaa, watu wanalizwa sanaaa
Simu ilobadilishwa imei unaijuaje mkuu??
 
matapeli na wasio matapeli wote wamo,
inshu ipo jee utaangukia mikononi mwa yupi? Utamjuajee?

Cha msingi nikujarb kupunguza risk angalau kwa:

kuepuka
1.kununua simu vichochoroni

2.kutuma hela ukatarija kutumiwa simu

3.kununua simu bila kuichunguza(hua wanakuharakisha)

4.kununua simu bila kubaki na kithibitisho chochote cha aliekuuzia na mauziano.

5.Kununua simu ambayo ni nzima lkn muuzaji haitumii(offline), au mwambie aweke laini yake awasiliane na baadhi ya watu wake, akikataa kimbia

6.kununua simu hasa hizi za gharama(high ends)kwa bei chee sana au muuzaji anakuambia exchange allowed bila kuweka conditions zozote(huyu anachotoka simu imuondokee tuu, jiulize kwa nini?) kwa ufupi huyu anauzia simu tatizo sio shida(jitahd uelewe hapo)

7.kununua simu iliyobadilishwa imei,

8.kununua simu iliyo kwenye lock.
N.k n.k..

Yaani kikubwa sio kuuziwa simu fake, mbovua au nini inshu kwa sasa nikuuziwa simu ya wizi halaf wakai trace ukadakwa nayo wewee.... Aloooo utasaga menoo...nina ushahidi na hizi case sanaa, watu wanalizwa sanaaa
asante kwa ujumbe mzuri ndugu tujitahd kufanya biashara kwa werevu..usifanye kitu chenye risk kisa umemwamin anaetaka kukuuzia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom