Wauza smartphone tukutane hapa

MOTOROLA E4 PLUS.. ina fingerprint clean Ram 3gb, Internal 32gb, ina 4g sh@280000
No:0714018677
IMG-20181228-WA0017.jpeg
IMG-20181228-WA0012.jpeg
IMG-20181228-WA0008.jpeg
IMG-20181228-WA0010.jpeg
IMG-20181228-WA0019.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wapenda kitonga kuna huu mzigo hapa very clean, kwa Maana bei na specs halali mmegoma basi

Nauza iphone 7s plus tsh 250,000 tu.

specs:
Haiwaki,
haina motherboard,
haina housing,
haina kioo,
inakaa na charge kwa mda wote itakaokua kwenye umeme ukiichomoa tu inazima ili kutunza charge hivyo kuendana na kasi ya rais ya kubana matumizi,
Ina nyimbo za ccm mbele kwa mbele na mtaisoma namba,
ina picha ya rais wetu mtukufu, polepole, bomberdia na panga boy,
inaingia battery tatu za National Panasonic

PM Only 4 serious buyer, u can see how serious i am.

UJUMBE WA LEO,
ndio kwanza ter 12 january.
 
Wale wapenda kitonga kuna huu mzigo hapa very clean, kwa Maana bei na specs halali mmegoma basi

Nauza iphone 7s plus tsh 250,000 tu.

specs:
Haiwaki,
haina motherboard,
haina housing,
haina kioo,
inakaa na charge kwa mda wote itakaokua kwenye umeme ukiichomoa tu inazima ili kutunza charge hivyo kuendana na kasi ya rais ya kubana matumizi,
Ina nyimbo za ccm mbele kwa mbele na mtaisoma namba,
ina picha ya rais wetu mtukufu, polepole, bomberdia na panga boy,
inaingia battery tatu za National Panasonic

PM Only 4 serious buyer, u can see how serious i am.

UJUMBE WA LEO,
ndio kwanza ter 12 january.
Nipe mimi hii.

Eti ina picha ya polepole

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom