Wauza smartphone tukutane hapa

Blackberry z3 nauza 270k.pia ninayo tecno y3 nauza 140k.simu zipo kwenye hali nzuri.0712484858.
 
Nahitaji kubadilisha kioo cha huawei ascend mate 7, mwenye taarifa tafadhali tuwasiliane 0716868394
 
Mi ninazo ila hazina sifa ulizoziweka 1. Zote ni Single Sim(line 1) 2. Ni Nokia Lumia 620 Black na Nokia Lumia 630 Hii bado mpya kabisa ila ina makava mawili moja ni Black na lingine ni Green kwa hiyo unajichagulia unataka simu iwe na mwonekano wa rangi gani hivyo kama hautojali naweza kukuuzia zote mbili kwa laki 3. Note: Zote zinatumia Windows 8.1
Nna taka io nokia lumia 620 nna mia thelathini na nnakuongezea sm yang bio kam tukikubaliana
 
Tecno C8 in good condition going cheap at only 250,000
Contact 0773222111
ImageUploadedByJamiiForums1457420739.821055.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1457420757.387316.jpg
 
Vodafone smart kicker VF685 bought from Vodacom line moja tu ya Vodacom 45,000/= Original.
 
Habari wadau, kwa anaehitaji simu zifuatazo tuwasiliane
Vega no. 6
Vega Iron
Samsung Galaxy Grand
LG Optimus LTE II
Note II
Vega Secret Up
Samsung Galaxy Win


Pia Samsung Galaxy Tab 7 inch inapatikana ambayo unaweza kuweka simcard na kutumia kwa kupiga simu na kufanya mobile transaction eg. tigopesa, m-pesa etc

Vitu vyote ni bidhaa kutoka Korea.
 
Habari wadau, kwa anaehitaji simu zifuatazo tuwasiliane
Vega no. 6
Vega Iron
Samsung Galaxy Grand
LG Optimus LTE II
Note II
Vega Secret Up
Samsung Galaxy Win


Pia Samsung Galaxy Tab 7 inch inapatikana ambayo unaweza kuweka simcard na kutumia kwa kupiga simu na kufanya mobile transaction eg. tigopesa, m-pesa etc

Vitu vyote ni bidhaa kutoka Korea.
Weka bax pcha na specification zake tufke dau and uxsahau kuweka na bei
 
Nauza Galaxy note 2, mpya. Imetumika siku 2 tu, ina screen protector,cover ya nyuma na chaji. Bei ni 300k fixed. Kwa aliye serious anitafute kwa 0755783420 nipo Dar.
Weka picha zake na ata specification zake ili watu wavtiwe kufka bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom