return of cs
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 130
- 23
Ncheki whatsappOk mi nipo dar
Ncheki whatsappOk mi nipo dar
Nina tecno Y6 Mpya Kabsa, Huawei 530 Huawei Ascend 600 bei powa call me 0714702720
Mi ninazo ila hazina sifa ulizoziweka 1. Zote ni Single Sim(line 1) 2. Ni Nokia Lumia 620 Black na Nokia Lumia 630 Hii bado mpya kabisa ila ina makava mawili moja ni Black na lingine ni Green kwa hiyo unajichagulia unataka simu iwe na mwonekano wa rangi gani hivyo kama hautojali naweza kukuuzia zote mbili kwa laki 3. Note: Zote zinatumia Windows 8.1Wauzaji wa Used Windows Phone mko wapi?
niko meatu-simiyu,ww uko wapi?Mi ninazo ila hazina sifa ulizoziweka 1. Zote ni Single Sim(line 1) 2. Ni Nokia Lumia 620 Black na Nokia Lumia 630 Hii bado mpya kabisa ila ina makava mawili moja ni Black na lingine ni Green kwa hiyo unajichagulia unataka simu iwe na mwonekano wa rangi gani hivyo kama hautojali naweza kukuuzia zote mbili kwa laki 3. Note: Zote zinatumia Windows 8.1
Mkuu chukua 180kNauza c8 tecno cammon bei 240k ipo ktk fantastic condition mm nilinunua 300k nina shida ya pesa nw
Dudumizi.,weka na bei mkuuHtc m9
Internal 32gb
Ram 3gb
Camera 20mp
Android vision 6.0
Ipo kwenye good condition haina tatizo lolote...
Nicheki ...0759733603
View attachment 325615
Weka Bei mezanHtc m9
Internal 32gb
Ram 3gb
Camera 20mp
Android vision 6.0
Ipo kwenye good condition haina tatizo lolote...
Nicheki ...0759733603
View attachment 325615
850,000/=Weka Bei mezan
850,000/=Dudumizi.,weka na bei mkuu