Wauza smartphone tukutane hapa

Kiago LTD

New Member
Aug 14, 2019
2
0
SAMSUNG GALAXY TAB A6, CLEAN

240,000/= TU

0652220059
20190824_151842.jpeg
20190824_151820.jpeg
20190528_151123.jpeg
 
Galaxy note 3 32gb storage,3gb Ram
Inashida ya screen tu,Ilianguka,inawaka screen ikiwa haionyeshi,inaita ikipigiwa,IPO kwenye hali nzuri

50k tu nakuachia....
IMG-20191227-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hii ni Simu ya Samsung Galaxy A50, ambayo ni miongoni mwa simu za bei nafuu kutoka Samsung. Kwenye hiii video naelezea experience yangu ya kutumia hiii simu kwa miezi 7 ili na wewe uelewe kama unaplan ya kutaka kuinunua hii simu na pia kukupa ushauri wa vitu vya kuangalia katika hii simu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom