Nimekuelewa sana, yaani mtoto akiona hilo bomba atajua kuna chocolate! HatariWaungwa tupigie vita hivi vitu maana watoto imekuwa mtihani huu maana chocolate inatiwa humu kwenye bomba la shindano na wizara ya afya ipo kimya itafika muda watoto wataokota bomba za shindano wanazotumia wavuta unga halafu waje kupata maradhiView attachment 1156090