Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Kuna kila dalili kuwa wale Waumini wa FULL GOSPEL-MWENGE (KWA KAKOBE) Wanaolinda usiku na mchana kutimuliwa alfajiri ya leo,ili kupisha mradi mkubwa wa umeme,tetesi hizi zilianza jana jioni tar. 26.02.2010 na sasa hivi asubuhi ya tar 27. Saa 10 na nusu alfajiri... WAMEKATA UMEME. YARABI SALAMA!