Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
"Baby naomba usiniache sawa"
Kauli flani nzuri inaweza kukupumbaza ukajiona unapendwa kumbe wapi hisia kitu kibaya"Baby naomba usiniache sawa"
View attachment 1132493
Hahah kazi kweli kweliBora utamkiwe na unaempenda, ikiwa hawa wa kupoteza muda nafsi inakusuta hatari
Emagine mtu anakwambia hivyo huku unajua kabisaa unapita njia, si kuongezeana dhambi hukoHahah kazi kweli kweli
Mungu atunusuru hahaah nimecheka sana hii kitu .
😂😂😂Kauli flani nzuri inaweza kukupumbaza ukajiona unapendwa kumbe wapi hisia kitu kibaya
Nishaambiwa hivo af saiv anadundika na mshikaji mwingine kitaani."Baby naomba usiniache sawa"
View attachment 1132493
Kawaida sana. Halinaga uzito."Baby naomba usiniache sawa"
View attachment 1132493
Maybe usemayo ni kweliWakikolezwa vizuri wengi husema hivyo