Waume kwa wake tujiangalie upya kwenye hili...

Namge

JF-Expert Member
Oct 9, 2016
1,356
1,804
Wana JF natumai mu wazima.. Na mnaendelea vyema kulisongesha gurudumu la taifa..

Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja...
Wadungu kutokana na maendeleo ya kijamii na ukuaji wa miji.. Kumeleteleza kuwapo kwa kwa hali ya familia nyingi kuishi maisha ya kupangisha..
Hali inapelekea familia nyingi za status tofauti kujikuta sehemu moja
Kwa mfano.. Unakuta bachelor, couple ya mme na mke, Familia Ya watoto wakubwa kiasi.. Na Wengine Familia ya watoto wakubwa kabisa..
Wote hapo mnajikuta kaya moja.. Mwenye Chumba kimoja, viwili, viatu.. Kulingana na mahitaji.
Kuna changamoto nyingi katika kaya za namna hii. Lakin kubwa iliyonileta hapa ni tabia za watu kufanya mapenzi kwa namna ambayo inatia aibu na kuleta fedheha..
Unakuta mtu anapiga kelele sana kiasi kwamba mwisho wa Siku watu mnaangaliana kwa soni.
Mfano hapa nilipo tumepakana na couple moja..ambayo mbibie hupiga kelele Kali.. Zikiambatana na maneno..
"Oooh Ooh huwii.. Hapo hapo.. Nit*mb* beib nit*mb*..ingiza yote.. Mamaa Tamuuuuuuu... "
Sasa hapo umeme hakuna na ndo mapema...familia zingine Zipo mezani kwa ajili ya Chakula.
Cwakatazi watu kupeana utamu ila tuangalie na mazingira yetu yanayotuzunguka hasa kina mama...
Kipindi Nipo chuoni ktka hostel moja iv..
Kulikuwa na couple ya mzungu na mbongo mmoja ambayo wakianza Yale mambo ya kiutu uzima bhas hostel nzima lazima muamke ..sasa ndo ikawa mtindo na videmu vingine ikawa Kama life style ikabidi Tuweke kikao,
Sasa na uswazi kwetu naona hali inakuwa mbaya sana..
NB:Tuangalieni maadili jamani.. Lenye kuweza kuliepuka tuliepuke"
 
Ndio maana wapiga chabo wanaongezeka sana uswazi siku hizi.
Ukitaka raha we jenga kwako tu mkuu, hii mambo ya kupanga uswahilini ina changamoto sana, asikwambie mtu
 
chabo ina raha yake sana kwa vile watu hawaelewagi

maana kuna watu wengine story zao bwana utasikia napiga mzigo dk 120 mtoto mpaka anakimbia. sasa kutana naye live anakipisingili ahhhhh niishie hapa tu
 
Sidhani kama huyo mwanamke alitamka hayo maneno

Tuwekee audio clip tuamini.
 
hamna maadili!! Enyi kizazi cha niaje, mzuka, nasanasa na mambo vepeee acheni ushenzi!! nobera novetro Nimutro
 
Ndio maana wapiga chabo wanaongezeka sana uswazi siku hizi.
Ukitaka raha we jenga kwako tu mkuu, hii mambo ya kupanga uswahilini ina changamoto sana, asikwambie mtu
Nakumbuka Asigwa uliniambia kuwa haya mambo yapo hadi hapo uswazi kwenu, vip tayar wameacha hii tabia mäana najua huwa wanakupa wakati mgum sana
 
tulia ww hizo ndo kelele za viwanda.

ukiona hivo ujue uzalishaj mali ndo unafanyika.

TANZANIA ya viwanda.
 
Ndio maana wapiga chabo wanaongezeka sana uswazi siku hizi.
Ukitaka raha we jenga kwako tu mkuu, hii mambo ya kupanga uswahilini ina changamoto sana, asikwambie mtu
Acha tu Mkuu... Kuchelewa kujenga ni dhahama kubwa Sana Siku hizi.. Watu hawana soni hata kidogo Mkuu
 
Siku akipiga kelele m-record kisha uje umtumie sound clip kwenye WhatsApp...
Atahama mtaa mwenyewe.
 
Siku akipiga kelele m-record kisha uje umtumie sound clip kwenye WhatsApp...
Atahama mtaa mwenyewe.
Hili wazo zur lakini linahitaji uwe una akili kama za mwendawazmu ivi
 
Wana JF natumai mu wazima.. Na mnaendelea vyema kulisongesha gurudumu la taifa..

Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja...
Wadungu kutokana na maendeleo ya kijamii na ukuaji wa miji.. Kumeleteleza kuwapo kwa kwa hali ya familia nyingi kuishi maisha ya kupangisha..
Hali inapelekea familia nyingi za status tofauti kujikuta sehemu moja
Kwa mfano.. Unakuta bachelor, couple ya mme na mke, Familia Ya watoto wakubwa kiasi.. Na Wengine Familia ya watoto wakubwa kabisa..
Wote hapo mnajikuta kaya moja.. Mwenye Chumba kimoja, viwili, viatu.. Kulingana na mahitaji.
Kuna changamoto nyingi katika kaya za namna hii. Lakin kubwa iliyonileta hapa ni tabia za watu kufanya mapenzi kwa namna ambayo inatia aibu na kuleta fedheha..
Unakuta mtu anapiga kelele sana kiasi kwamba mwisho wa Siku watu mnaangaliana kwa soni.
Mfano hapa nilipo tumepakana na couple moja..ambayo mbibie hupiga kelele Kali.. Zikiambatana na maneno..
"Oooh Ooh huwii.. Hapo hapo.. Nit*mb* beib nit*mb*..ingiza yote.. Mamaa Tamuuuuuuu... "
Sasa hapo umeme hakuna na ndo mapema...familia zingine Zipo mezani kwa ajili ya Chakula.
Cwakatazi watu kupeana utamu ila tuangalie na mazingira yetu yanayotuzunguka hasa kina mama...
Kipindi Nipo chuoni ktka hostel moja iv..
Kulikuwa na couple ya mzungu na mbongo mmoja ambayo wakianza Yale mambo ya kiutu uzima bhas hostel nzima lazima muamke ..sasa ndo ikawa mtindo na videmu vingine ikawa Kama life style ikabidi Tuweke kikao,
Sasa na uswazi kwetu naona hali inakuwa mbaya sana..
NB:Tuangalieni maadili jamani.. Lenye kuweza kuliepuka tuliepuke"
Wakalisheni chini waelezeni athari za makelele yao.unakuta MTU umekaa na familia na mama mkwe anawaelezea habari za kijijini ndo unasikia......Ahaaaa beb nipeeee...nipee beb ...shusha chini kidogooo,,,,,,sasa halo sijui utaangalianaje na mama mkwe,pambaaavu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom