LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Pamoja na uzembe wa wauguzi sikatai lakini huyo mama wa mtoto kama mtoto muda wote analia kweli huwezi kumuangalia mwanao maungoni kwanini analia tu!!?
Hakuweza hata kutoa taarifa kwa waauguzi kuwa mtoto toka awekewe drip analia tu muda wote!!?