Wauguzi na waganga katika hospitali na vituo vya afya vya Serikali badilikeni

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
1,199
1,346
Yaani unakuta mtu uko hoi bin taabani , unaamua kwenda kwenye hospital ya serikali au kituo cha afya ukiwa na kadi yako ya bima ukifika huko ,kuanzia maeneo ya reception unakuta mtu badala ya kuelekezwa ni wapi pa kuanzia mtu yuko bize kusikiliza mziki ,ameweka earphone masikioni, haya ukifika kwa daktari nae anakufanyia diagnosis tu kawaida kisha anakuandikia madawa bila kukupima.

Manesi nao ndio hivyo.

Badilikeni jamani.
 
Miaka 4 watu hawana nyongeza za mishahara, hawajapandishwa vyeo kila siku wanafanyiwa uhakiki....huo molari wa kukuhudumia wewe kwa bashasha wataupata wapi!
Ukiona hawasomeki nenda katibiwe private, huko hadi usafiri wa kwenda kazini na kurudi majumbani wanapewa!
 
Hivi ndivyo waswahili walivyo, inabidi uwazoee!! Badala ya kutoa huduma, unakuta yuko bize anachati WhatsApp, mara aongee na simu, mara ajichekeshe chekeshe... akianza kukuhudumia huku kakunja domo anakupandisha juu mpaka chini! Aiseeeee... WASWAHILI NI WAVIVUU MNOOO HALAFU WASHAMBA!
 
Hivi ndivyo waswahili walivyo, inabidi uwazoee!! Badala ya kutoa huduma, unakuta yuko bize anachati WhatsApp, mara aongee na simu, mara ajichekeshe chekeshe... akianza kukuhudumia huku kakunja domo anakupandisha juu mpaka chini! Aiseeeee... WASWAHILI NI WAVIVUU MNOOO HALAFU WASHAMBA!
Labda waswahili wa hospital za serikali
 
Hata watumishi wa halmashauri na masecretary ni Wazembe, Wavivu na Washamba sana.
 
Yaani unakuta mtu uko hoi bin taabani , unaamua kwenda kwenye hospital ya serikali au kituo cha afya ukiwa na kadi yako ya bima ukifika huko ,kuanzia maeneo ya reception unakuta mtu badala ya kuelekezwa ni wapi pa kuanzia mtu yuko bize kusikiliza mziki ,ameweka earphone masikioni, haya ukifika kwa daktari nae anakufanyia diagnosis tu kawaida kisha anakuandikia madawa bila kukupima.

Manesi nao ndio hivyo.

Badilikeni jamani.
Ndio madhara ya kutoongeza mishahara. Tarajia makubwa zaidi ya hayo siku zijazo.
 
Wagonjwa mnafurahisha sana daaaaah.....tatzo hii nchi kila MTU anajikuta daktari....unatakiwa ujue kuwa sio kila diagnosis is confirmed by vipimo....through experience and good hx taking ,a DX is reached in more than 70% .....acheni kutuingilia majukumu....
Yaleyalw ya Ally Hapi et mgonjwa asipewe drip bila vipimo,fantastic.....HV mtoto under five ana severe dehydration hadi umpime jmn....achen madokta wafanye kazi zao....wanajua n nn wanafanya
 
Yaani unakuta mtu uko hoi bin taabani , unaamua kwenda kwenye hospital ya serikali au kituo cha afya ukiwa na kadi yako ya bima ukifika huko ,kuanzia maeneo ya reception unakuta mtu badala ya kuelekezwa ni wapi pa kuanzia mtu yuko bize kusikiliza mziki ,ameweka earphone masikioni, haya ukifika kwa daktari nae anakufanyia diagnosis tu kawaida kisha anakuandikia madawa bila kukupima.

Manesi nao ndio hivyo.

Badilikeni jamani.
Asante Mkuu kwa kuleta habari hii
MUHIMBILI MUHIMBILI kuanzia mapokezi mpaka Madaktari hawa watu wana lugha za kuumiza watu
Ukifika mgonjwa watakukaripia pasipo sababu watakugeuza kituko watakuona bwege utafikiri wao hawatakuja Kuugua

MAPOKEZI MUHIMBILI REKEBISHENI
Acheni kunyanyapaa watu
Mnatutesea Wazazi na ndugu zetu
Msifanye kazi kwa mazoea..

Kuna watu wanaugulia majumbani kwa kukosa amani wakienda hospitalini
Wauguzi mna lugha mbovu

Muhimbili mnawatesa watu mnawawekesha wagonjwa masaa nane tisa kusubiri huduma eti utaratibu wao ni kuwatibu staff na jamaa zao kwanza wengine watafuata. Huu ni unyanyasaji wa kupitiliza. Kuna watu wanatoka mikoani hawana pa kuishi lakini mnawatesa kwa kuwacheleweshea huduma watu wanaamka usiku wa manane kuwahi foleni at the end of the day Diagnosis inakuwa ndivyo sivyo unaishia kupewa panadol Muhimbili seriously!

Waziri husika zungumza na watumishi wako
Refresh training inahitajika sanaaaaaaa kwa wauuguzi

Wale wauuguzi wanaofanya kazi kwa moyo Tunazidi kuwaombea Mungu abariki kazi za mikono yenu Abariki na Familia zenu!

Uuguzi ni wito kuweni na huruma kwa wagonjwa
 
Asante Mkuu kwa kuleta habari hii
MUHIMBILI MUHIMBILI kuanzia mapokezi mpaka Madaktari hawa watu wana lugha za kuumiza watu
Ukifika mgonjwa watakukaripia pasipo sababu watakugeuza kituko watakuona bwege utafikiri wao hawatakuja Kuugua

MAPOKEZI MUHIMBILI REKEBISHENI
Acheni kunyanyapaa watu
Mnatutesea Wazazi na ndugu zetu
Msifanye kazi kwa mazoea..

Kuna watu wanaugulia majumbani kwa kukosa amani wakienda hospitalini
Wauguzi mna lugha mbovu

Muhimbili mnawatesa watu mnawawekesha wagonjwa masaa nane tisa kusubiri huduma eti utaratibu wao ni kuwatibu staff na jamaa zao kwanza wengine watafuata. Huu ni unyanyasaji wa kupitiliza. Kuna watu wanatoka mikoani hawana pa kuishi lakini mnawatesa kwa kuwacheleweshea huduma watu wanaamka usiku wa manane kuwahi foleni at the end of the day Diagnosis inakuwa ndivyo sivyo unaishia kupewa panadol Muhimbili seriously!

Waziri husika zungumza na watumishi wako
Refresh training inahitajika sanaaaaaaa kwa wauuguzi

Wale wauuguzi wanaofanya kazi kwa moyo Tunazidi kuwaombea Mungu abariki kazi za mikono yenu Abariki na Familia zenu!

Uuguzi ni wito kuweni na huruma kwa wagonjwa
Noted
 
Back
Top Bottom