Waua legacy ya Magufuli wameishiwa pumzi? Bandari ya Mtwara yazidi kuchanja mbuga

Kijogoodi

JF-Expert Member
Mar 29, 2021
1,363
2,372
Wakati Magufuli anatenga zaidi ya trillion mbili kwa ajili ya kuchimba na kupanua bandari ya Mtwara, Dar ,Tanga na ile ya Kalema Chadema walipinga na kuita hayo ni matumizi mabaya ya pesa za uma.!
---' ---- ----- ---
Mtwara. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Mkoa wa Mtwara imepokea mtambo mkubwa (Crane) kwa ajili ya kupakulia mizigo bandarini yenye uwezo wa kwenda zaidi ya mita 45 ndani ya maji.

Akizungumza wakati wa kupakua mtambo huo Kaimu Meneja wa Bandari Mtwara, Norbert Kalembwe amesema kuwa mtambo huo utasaidia kuongeza kasi ya upakuaji mizigo bandarini kwa meli za aina zote.

Amesema kuwa mtambo huo una vipande zaidi ya 160 ambavyo vitaungwa na kupata mtambo mmoja utakaokuwa ukitembea kwenye reli iliyopo ndani ya bandari.

"Mtambo huu umeletwa na meli mbili mahususi kwaajili ya kuhudumia shehena ya makasha umeagizwa na Serikali crane moja inaunda vipande 160"

"Unauwezo wa kwenda ndani ya bahari kwa mita 45 unauwezo wa kichukua mzigo umbali huo itatembea kwenye reli mwanzo wa gati hadi mwisho wa reli meli ndogo mbili zinaweza kujipanga lakini huu mtambo ukaenda kichukua meli ya pili. Ni sehemu ya makakati wa Serikali kuboresha Bandari ya Mtwara." Amesema Kalembwe

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanal Ahmed Abbas amesema kuwa kufika kwa mtambo huo kutaongeza kasi ya upakuaji wa mizigo.

"Mtambo huu kwetu ni fursa na umekuja kufungua Bandari hii ambapo kwa sasa meli zitakuja bila crane na tutakuwa na uwezo wa kupaku mizigo hapa hapa." amesema Kanal Abbas
 
Wimbo sasa umebadilika, kutoka 'HAWEZI/HATAKI' kuendeleza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake kwakuwa ana nia ya kumzima hadi mada hii leo.

Narudia, nasema hv; hadi kufikia 2025 au 2030 mama atafanikiwa kuwavalisha kanga wote wanaomchukia.....tena watavaa wenyewe.

Mama alishasema kitambo sana kuwa hakuja kuleta utofauti wowote na jpm, ataiendeleza miradi aliyoianzisha jpm (ok, tumweke pembeni yeye aliyekuwa makamu maana haters hawataki kusikia lolote kuhusu hili. Na wakilazimika kusikia basi hawapendi kusikia lolote kuhusu mchango wa makamu wa raisi kwa raisi.....hapa wanataka atajwe mpendwa wao tu kwa kila kitu). Lakini pia hakusita kusema kuwa atarekebisha hapa na pale kadiri atakavyoona inafaa. Na ni kweli, ameweka vizuri miuondombinu mingi ikiwemo ya shule (sasa hakuna f1 atayelazimika kungoja teeena), barabara n.k na sasa kwa umakini bila makelele meeeeeengi anaimaliza miradi; si huo tu lakini na mingine kibao tu.

Nina uhakika haters mtaendaaaa lkn mwishowe mtarudi tu na mtamzungumza wenyewe, mtake msitake.......usifanye utani na aliyepewa na Mungu mwenyewe bwana, utatoka chunusi hadi kwenye macho.
 
Wakati Magufuli anatenga zaidi ya trillion mbili kwa ajili ya kuchimba na kupanua bandari ya Mtwara, Dar ,Tanga na ile ya Kalema Chadema walipinga na kuita hayo ni matumizi mabaya ya pesa za uma.!
---' ---- ----- ---
Mtwara. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Mkoa wa Mtwara imepokea mtambo mkubwa (Crane) kwa ajili ya kupakulia mizigo bandarini yenye uwezo wa kwenda zaidi ya mita 45 ndani ya maji.

Akizungumza wakati wa kupakua mtambo huo Kaimu Meneja wa Bandari Mtwara, Norbert Kalembwe amesema kuwa mtambo huo utasaidia kuongeza kasi ya upakuaji mizigo bandarini kwa meli za aina zote.

Amesema kuwa mtambo huo una vipande zaidi ya 160 ambavyo vitaungwa na kupata mtambo mmoja utakaokuwa ukitembea kwenye reli iliyopo ndani ya bandari.

"Mtambo huu umeletwa na meli mbili mahususi kwaajili ya kuhudumia shehena ya makasha umeagizwa na Serikali crane moja inaunda vipande 160"

"Unauwezo wa kwenda ndani ya bahari kwa mita 45 unauwezo wa kichukua mzigo umbali huo itatembea kwenye reli mwanzo wa gati hadi mwisho wa reli meli ndogo mbili zinaweza kujipanga lakini huu mtambo ukaenda kichukua meli ya pili. Ni sehemu ya makakati wa Serikali kuboresha Bandari ya Mtwara." Amesema Kalembwe

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanal Ahmed Abbas amesema kuwa kufika kwa mtambo huo kutaongeza kasi ya upakuaji wa mizigo.

"Mtambo huu kwetu ni fursa na umekuja kufungua Bandari hii ambapo kwa sasa meli zitakuja bila crane na tutakuwa na uwezo wa kupaku mizigo hapa hapa." amesema Kanal Abbas
Mshana Jr Soma Tena Elli fundi bishoo Tajiri Kichwa OSEFUKANY Kennedy mjingamimi Utingo green rajab Matola bagamoyo KeyserSoze njumu za kosovo
 
Wakati Magufuli anatenga zaidi ya trillion mbili kwa ajili ya kuchimba na kupanua bandari ya Mtwara, Dar ,Tanga na ile ya Kalema Chadema walipinga na kuita hayo ni matumizi mabaya ya pesa za uma.!
---' ---- ----- ---
Mtwara. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Mkoa wa Mtwara imepokea mtambo mkubwa (Crane) kwa ajili ya kupakulia mizigo bandarini yenye uwezo wa kwenda zaidi ya mita 45 ndani ya maji.

Akizungumza wakati wa kupakua mtambo huo Kaimu Meneja wa Bandari Mtwara, Norbert Kalembwe amesema kuwa mtambo huo utasaidia kuongeza kasi ya upakuaji mizigo bandarini kwa meli za aina zote.

Amesema kuwa mtambo huo una vipande zaidi ya 160 ambavyo vitaungwa na kupata mtambo mmoja utakaokuwa ukitembea kwenye reli iliyopo ndani ya bandari.

"Mtambo huu umeletwa na meli mbili mahususi kwaajili ya kuhudumia shehena ya makasha umeagizwa na Serikali crane moja inaunda vipande 160"

"Unauwezo wa kwenda ndani ya bahari kwa mita 45 unauwezo wa kichukua mzigo umbali huo itatembea kwenye reli mwanzo wa gati hadi mwisho wa reli meli ndogo mbili zinaweza kujipanga lakini huu mtambo ukaenda kichukua meli ya pili. Ni sehemu ya makakati wa Serikali kuboresha Bandari ya Mtwara." Amesema Kalembwe

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanal Ahmed Abbas amesema kuwa kufika kwa mtambo huo kutaongeza kasi ya upakuaji wa mizigo.

"Mtambo huu kwetu ni fursa na umekuja kufungua Bandari hii ambapo kwa sasa meli zitakuja bila crane na tutakuwa na uwezo wa kupaku mizigo hapa hapa." amesema Kanal Abbas
Sasa legacy inauwawa Kwa namna gani Sasa? Ni serikali ya Sasa ndio imenunua mitambo mipya kwa ajili ya bandari ya Mtwara sasa nani anashindana na marehemu?
 
Wimbo sasa umebadilika, kutoka 'HAWEZI/HATAKI' kuendeleza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake kwakuwa ana nia ya kumzima hadi mada hii leo.

Narudia, nasema hv; hadi kufikia 2025 au 2030 mama atafanikiwa kuwavalisha kanga wote wanaomchukia.....tena watavaa wenyewe.

Mama alishasema kitambo sana kuwa hakuja kuleta utofauti wowote na jpm, ataiendeleza miradi aliyoianzisha jpm (ok, tumweke pembeni yeye aliyekuwa makamu maana haters hawataki kusikia lolote kuhusu hili. Na wakilazimika kusikia basi hawapendi kusikia lolote kuhusu mchango wa makamu wa raisi kwa raisi.....hapa wanataka atajwe mpendwa wao tu kwa kila kitu). Lakini pia hakusita kusema kuwa atarekebisha hapa na pale kadiri atakavyoona inafaa. Na ni kweli, ameweka vizuri miuondombinu mingi ikiwemo ya shule (sasa hakuna f1 atayelazimika kungoja teeena), barabara n.k na sasa kwa umakini bila makelele meeeeeengi anaimaliza miradi; si huo tu lakini na mingine kibao tu.

Nina uhakika haters mtaendaaaa lkn mwishowe mtarudi tu na mtamzungumza wenyewe, mtake msitake.......usifanye utani na aliyepewa na Mungu mwenyewe bwana, utatoka chunusi hadi kwenye macho.
The Sunk Cost Fallacy Dan Zwangendaba zandrano
 
Wimbo sasa umebadilika, kutoka 'HAWEZI/HATAKI' kuendeleza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake kwakuwa ana nia ya kumzima hadi mada hii leo.

Narudia, nasema hv; hadi kufikia 2025 au 2030 mama atafanikiwa kuwavalisha kanga wote wanaomchukia.....tena watavaa wenyewe.

Mama alishasema kitambo sana kuwa hakuja kuleta utofauti wowote na jpm, ataiendeleza miradi aliyoianzisha jpm (ok, tumweke pembeni yeye aliyekuwa makamu maana haters hawataki kusikia lolote kuhusu hili. Na wakilazimika kusikia basi hawapendi kusikia lolote kuhusu mchango wa makamu wa raisi kwa raisi.....hapa wanataka atajwe mpendwa wao tu kwa kila kitu). Lakini pia hakusita kusema kuwa atarekebisha hapa na pale kadiri atakavyoona inafaa. Na ni kweli, ameweka vizuri miuondombinu mingi ikiwemo ya shule (sasa hakuna f1 atayelazimika kungoja teeena), barabara n.k na sasa kwa umakini bila makelele meeeeeengi anaimaliza miradi; si huo tu lakini na mingine kibao tu.

Nina uhakika haters mtaendaaaa lkn mwishowe mtarudi tu na mtamzungumza wenyewe, mtake msitake.......usifanye utani na aliyepewa na Mungu mwenyewe bwana, utatoka chunusi hadi kwenye macho.
Mugacherere
 
Kwa akili gani alionayo ya kuleta mtambo! Yani huyu mtu angempokea Jakaya kijiti nahisi leo hii tungekuwa tushafikia stage ya kuuana wenyewe kwa wenyewe mwenye hela anakuua na kukuzika askari wanaokota maiti tu. Nchi ingekuwa imejaa madawa ya kulevya kila kona
Hisia za chuki tu kuzoea Maisha ya kitumwa mliyonayo otherwise hakuna hoja ya msingi. Huyo baba yenu angempokea Mkapa sasa hivi tungekuwa sawa na Burundi tu.
 
Wimbo sasa umebadilika, kutoka 'HAWEZI/HATAKI' kuendeleza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake kwakuwa ana nia ya kumzima hadi mada hii leo.

Narudia, nasema hv; hadi kufikia 2025 au 2030 mama atafanikiwa kuwavalisha kanga wote wanaomchukia.....tena watavaa wenyewe.

Mama alishasema kitambo sana kuwa hakuja kuleta utofauti wowote na jpm, ataiendeleza miradi aliyoianzisha jpm (ok, tumweke pembeni yeye aliyekuwa makamu maana haters hawataki kusikia lolote kuhusu hili. Na wakilazimika kusikia basi hawapendi kusikia lolote kuhusu mchango wa makamu wa raisi kwa raisi.....hapa wanataka atajwe mpendwa wao tu kwa kila kitu). Lakini pia hakusita kusema kuwa atarekebisha hapa na pale kadiri atakavyoona inafaa. Na ni kweli, ameweka vizuri miuondombinu mingi ikiwemo ya shule (sasa hakuna f1 atayelazimika kungoja teeena), barabara n.k na sasa kwa umakini bila makelele meeeeeengi anaimaliza miradi; si huo tu lakini na mingine kibao tu.

Nina uhakika haters mtaendaaaa lkn mwishowe mtarudi tu na mtamzungumza wenyewe, mtake msitake.......usifanye utani na aliyepewa na Mungu mwenyewe bwana, utatoka chunusi hadi kwenye macho.
Anapiga kote kote 😆😆
 
Sasa kulikua na haja gani ya kusafirisha korosho kwa malori ya jeshi toka Mtwara/Lindi mpaka bandari ya Dar wakati alikua anajua kuwa kuna bandari Mtwara
 
Back
Top Bottom