Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,961
- 13,589
Kwa kutokuelewa,au kutokujua,baadhi ya wafanya biashara wameshindwa kufanya shughuli zao kwa uhuru kufuatia marufuku iliyowekwa kwa amri(sijui) au kwa sheria(sijui) kusafirisha mazao ya chakula hususani mahindi kwenda nchi ya kenya kupitia mpaka wa tarekea...ni nini maana ya soko la pamoja? Hawa polisi wanaosumbua watu hapo rombo wanafanya kazi kwa sheria au amri? Mimi ni muadhirika wa hawa jamaa. (polisi)WanaJF, fursa za EAC ni zipi? Naomba kuwasilisha