Watz wabadilisha kauli za kutegemea maombi, sasa ni mwendo wa kufukiza

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,747
48,343
Hili sasa linaeleweka maana limekaa kitaalam zaidi ukilinganisha na kauli za awali kwamba corona itaungua ikiingia kanisani. Hili nahisi likizingatiwa vizuri linaweza kuwa tiba ya corona maana kirusi chenyewe ni futa na unaweza ukakiyeyusha kwa maji ya moto au mvuke.

Nimefuata taarifa nyingi za watu wanaosema walipona corona bila kwenda hospitalini kule Ulaya, wengi wanasema walikua wanakunywa maji ya moto baada ya kila dakika 15, cha msingi ukianza kuhisi kwa namna fulani koo linaziba, kunywa maji ya moto tena sana na kwa kila mara, muhimu hakikisha kirusi hakipiti kwenye koo na kuingia kwenye mapafu maana baada ya hapo ndio inakua kiama, wengi wa wanaoaga dunia inatokana na kuruhusu kitue kwenye mapafu, hivyo ukifaulu kukiwahi kabla, mambo yataenda freshi.

Ukiweza anza kujizoesha unywaji wa maji ya moto hata kabla haujaumwa corona, mimi hii imekua desturi yangu kila siku kwa miaka kadhaa sasa, kila nikiamka kabla kula chochote lazima ninywe maji ya moto yaliyotiwa limau. Na imenisaidia pakubwa maana huwa siumwi kirahisi, na nikipata mafua yenyewe hufa ndani ya siku tatu.

Hivyo ndugu zangu wana Afrika Mashariki, huu ni ushauri mzuri.

Lakini tahadhari zibaki zile zile, epuka misongamano, tumia barakoa, takasa mikono kwa sanitizers baada ya kila dakika 30 au saa, nawa mikono kwa maji tiririka.

Mengine yote muachie Mungu maana alisema mwisho wa maarifa ya binadamu ndio mwanzo wa Mungu, hivyo ukitumia hekima yote aliyokupa, basi naye anaanzia hapo, ila usibweteke na kukaa kiuzembe.
 
Maombi yametuletea ufunuo.Mungu fundi sana,Alhamdulillah

Hehehe!! Hii ni bora kuliko la kusema corona inaogopa kanisa.
Hivi Ina maana leo ndio mnapata huo ufunuo wa kufukiza, mbona mumechelewa sana, duniani kote walishajaribu na imekua ikitajwa kwenye mitandao yote ya kijamii, sema wanasayansi wametahadharisha kwamba haisaidii kitu, soma hapa False claim: Steam therapy kills coronavirus
 
Leo atleast umeongea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hehehe!! Kwani siku zingine huwa najamba.... mkulu wenu akisema mambo yenye mantiki tunatoa hongera na kuhamasisha, lakini akikaidi ushauri wa kitaalam na kusema yale ya eti corona itaungua kanisani lazima akosolewe, maana kama ingekua kweli, tungekua tunapanga foleni za kuingia kanisani, hapangekua na umuhimu wa karantini.

Enzi za mitume yaliwekezakana hayo lakini sio enzi hizi za maasi, mtu upo umesongamana kwenye klabu unakunywa pombe na machangudoa huku ukisema unaomba dhidi ya Corona.
 
hongereni waswahili ...mazeee mko vizuriiii🤣..ila mbona kamafua kameanza leta taabu namna hiii....nashauri ideas za mzee wa kazi mwigulu zifuatwee...#tutafika
2376611_IMG-20200422-WA0005.jpg
 
Hehehe!! Hii ni bora kuliko la kusema corona inaogopa kanisa.
Hivi Ina maana leo ndio mnapata huo ufunuo wa kufukiza, mbona mumechelewa sana, duniani kote walishajaribu na imekua ikitajwa kwenye mitandao yote ya kijamii, sema wanasayansi wametahadharisha kwamba haisaidii kitu, soma hapa False claim: Steam therapy kills coronavirus

hahaa nimecheka sana mkuu....imekuwa ni kama historia inajirudia vile...jiwe vs kinjeketile ngwale🤣, kwa tathmini yako ya haraka haraka nani jembe kati yaoo??😂
 
hahaa nimecheka sana mkuu....imekuwa ni kama historia inajirudia vile...jiwe vs kinjeketile ngwale🤣, kwa tathmini yako ya haraka haraka nani jembe kati yaoo??😂

Huyu wa sasa ndiye jembe maana hapa sipati picha jinsi mamilioni ya Watz kuanzia leo itakua mwendo wa makarai na mijasho ya kujifukiza.
Hii Corona mpaka iishe yaani tu basi...tutacheka, tutalia, tutahuzunika...hisia zote kwa mpigo mmoja. Uliwahi kulia huku ukicheka???
 
Hehehe!! Hii ni bora kuliko la kusema corona inaogopa kanisa.
Hivi Ina maana leo ndio mnapata huo ufunuo wa kufukiza, mbona mumechelewa sana, duniani kote walishajaribu na imekua ikitajwa kwenye mitandao yote ya kijamii, sema wanasayansi wametahadharisha kwamba haisaidii kitu, soma hapa False claim: Steam therapy kills coronavirus

Mimi nawashangaa wakenya,maombi ya kitaifa kwa ajili ya Kuombea janga la Corona yallitishwa na Rais Uhuru state house,na wakenya walimsifu sana,Tanzania imefanya kama wakenya walivyofanya japo kwa njia tofauti,mmeanza kubeza kwamba maombi hayasidii,kuja Corona,watu wa ajabu kabisa! Tanzania imechukua tahadhari nyingi tu,mfano.
1.Kufunga mashule yote na vyuo.
2.Kusimamisha safari zote za ndege kimatifa.
3.Kutoka elimu kwa wananchi wake namana ya kujikinga.
Huyo mengine ya kuzuia,kufanya mass test,curfew, kufunga mipaka,kutozuia shughuli za kiuchumi kuendelea ambayo Kenya mmefanya,hayajasaidia kufuta maambukizi,idadi inapanda kila siku.kwanni ss tukifanya mlichofanya mnapiga kelele?acheni mentality za kikoloni,kujiona your too special. Huu ujinga ndo unasabisha mnaingia mikataba ya kipumbavu na wachina.
 
Mimi nawashangaa wakenya,maombi ya kitaifa kwa ajili ya Kuombea janga la Corona yallitishwa na Rais Uhuru state house,na wakenya walimsifu sana,Tanzania imefanya kama wakenya walivyofanya japo kwa njia tofauti,mmeanza kubeza kwamba maombi hayasidii,kuja Corona,watu wa ajabu kabisa! Tanzania imechukua tahadhari nyingi tu,mfano.
1.Kufunga mashule yote na vyuo.
2.Kusimamisha safari zote za ndege kimatifa.
3.Kutoka elimu kwa wananchi wake namana ya kujikinga.
Huyo mengine ya kuzuia,kufanya mass test,curfew, kufunga mipaka,kutozuia shughuli za kiuchumi kuendelea ambayo Kenya mmefanya,hayajasaidia kufuta maambukizi,idadi inapanda kila siku.kwanni ss tukifanya mlichofanya mnapiga kelele?acheni mentality za kikoloni,kujiona your too special. Huu ujinga ndo unasabisha mnaingia mikataba ya kipumbavu na wachina.

Maombi ya kitaifa huitishwa mara nyingi sana na rais wetu, ila huwa yupo makini sana kwenye kauli zake, leo hii hebu chukulia kwa mfano kikao kikiitishwa cha marais wa EAC kujadili mikakati dhidi ya Corona, bila shaka wa kwenu atakwenda kinyume na wote maana kauli zake haziendani na wanavyofanya wenzake.
Yeye amekinzana hata na walio chini yake wote, chukulia kwa mfano
- Wataalam wanaomshauri masuala ya kitaalam kuhusu huu ugonjwa wanapomsikia akisema kirusi kitakufa kikiingia kanisani, hivi wanahisi vipi.
- Waziri mkuu wenu juzi amesema waliopona kwenu ni 11, mkulu wenu amesema waliopona ni 100
- Waziri wa afya na timu yake wamesema karantini lazima siku 14, rais wenu amesema mtu akionekna mzima aachwe tu, ina maana hajashauriwa kunao wanaonekana wazima ila wanaambukiza
- Mtaalam mkuu Tanzania Prof. Janabi ametahadharisha na kueleza balaa ya Corona, rais wenu ameita Corona kaugonjwa
- Dar imeonekana kuwa epicentre ya Corona Tz, ikashauriwa iwekwe lockdown kuzaia watu kuwapelekea wazee vijijini ugonjwa, rais wenu nilimskia akisema watu wa Dar wanapaswa kupeleka vitenge sijui Mbeya au wapi nilimskia. Sisi Nairobi ipo kwenye lockdown, ila essential services zinaruhusiwa, kwa mfano kama unasafirisha chakula na kuleta mjini hapa unaruhusiwa, waliozuiwa ni mabasi ya abiria wanaokuja kushangaa Nairobi, au wanaotoka Nairobi kwenda vijijini bila sababu maalum.
- Wataalam duniani wametoa sifa za aina gani ya barakoa zinazopaswa kuvaliwa, maana kwamba kirusi kinapenya usipotumia aina fulani za barakoa, rais wenu ameshauri mshone vitambaa huko.
- Fumigation zimeanza kufanywa kwenye magari na mjini Dar kwa ushauri wa wataalam na amri ya wakuu serikalini, rais wenu amewavuruga wanaofanya na kusema ni upuuzi tena mbele ya runinga kwa taifa yote, kitu ambacho angekisema kimya kimya ndani kwa ndani, sasa hapo kunakua kama kuna matabaka na timu kadhaa. Kwanza kasema inawezekana huko kupuliza hayo madawa ndio kunasambaza corona na labda ndio sababu namba zenu zimeanza kupandisha ghafla, na tayari ameagiza wana usalama wamtafute aliyetoa hilo agizo. Kwa hali kama hiyo kila mtu anaanza kukunja mkia na kunyamaza kwenye kona yake maana utafanya kitu ukikusudia mema ila rais akuzodoe tena mbele ya runinga.

Yaani mifano ni mingi tu ambayo inaonyesha jinsi gani Tanzania imejikanganya kwenye hili la corona. Mnafanya hili kule mnatengua kwa kufanya kinyume chake kwingine. Hata hayo ya kufunga viwanja vya ndege ilikua kwa mbinde.
 
Maombi ya kitaifa huitishwa mara nyingi sana na rais wetu, ila huwa yupo makini sana kwenye kauli zake, leo hii hebu chukulia kwa mfano kikao kikiitishwa cha marais wa EAC kujadili mikakati dhidi ya Corona, bila shaka wa kwenu atakwenda kinyume na wote maana kauli zake haziendani na wanavyofanya wenzake.
Yeye amekinzana hata na walio chini yake wote, chukulia kwa mfano
- Wataalam wanaomshauri masuala ya kitaalam kuhusu huu ugonjwa wanapomsikia akisema kirusi kitakufa kikiingia kanisani, hivi wanahisi vipi.
- Waziri mkuu wenu juzi amesema waliopona kwenu ni 11, mkulu wenu amesema waliopona ni 100
- Waziri wa afya na timu yake wamesema karantini lazima siku 14, rais wenu amesema mtu akionekna mzima aachwe tu, ina maana hajashauriwa kunao wanaonekana wazima ila wanaambukiza
- Mtaalam mkuu Tanzania Prof. Janabi ametahadharisha na kueleza balaa ya Corona, rais wenu ameita Corona kaugonjwa
- Dar imeonekana kuwa epicentre ya Corona Tz, ikashauriwa iwekwe lockdown kuzaia watu kuwapelekea wazee vijijini ugonjwa, rais wenu nilimskia akisema watu wa Dar wanapaswa kupeleka vitenge sijui Mbeya au wapi nilimskia. Sisi Nairobi ipo kwenye lockdown, ila essential services zinaruhusiwa, kwa mfano kama unasafirisha chakula na kuleta mjini hapa unaruhusiwa, waliozuiwa ni mabasi ya abiria wanaokuja kushangaa Nairobi, au wanaotoka Nairobi kwenda vijijini bila sababu maalum.
- Wataalam duniani wametoa sifa za aina gani ya barakoa zinazopaswa kuvaliwa, maana kwamba kirusi kinapenya usipotumia aina fulani za barakoa, rais wenu ameshauri mshone vitambaa huko.
- Fumigation zimeanza kufanywa kwenye magari na mjini Dar kwa ushauri wa wataalam na amri ya wakuu serikalini, rais wenu amewavuruga wanaofanya na kusema ni upuuzi tena mbele ya runinga kwa taifa yote, kitu ambacho angekisema kimya kimya ndani kwa ndani, sasa hapo kunakua kama kuna matabaka na timu kadhaa. Kwanza kasema inawezekana huko kupuliza hayo madawa ndio kunasambaza corona na labda ndio sababu namba zenu zimeanza kupandisha ghafla, na tayari ameagiza wana usalama wamtafute aliyetoa hilo agizo. Kwa hali kama hiyo kila mtu anaanza kukunja mkia na kunyamaza kwenye kona yake maana utafanya kitu ukikusudia mema ila rais akuzodoe tena mbele ya runinga.

Yaani mifano ni mingi tu ambayo inaonyesha jinsi gani Tanzania imejikanganya kwenye hili la corona. Mnafanya hili kule mnatengua kwa kufanya kinyume chake kwingine. Hata hayo ya kufunga viwanja vya ndege ilikua kwa mbinde.
Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili sasa linaeleweka maana limekaa kitaalam zaidi ukilinganisha na kauli za awali kwamba corona itaungua ikiingia kanisani. Hili nahisi likizingatiwa vizuri linaweza kuwa tiba ya corona maana kirusi chenyewe ni futa na unaweza ukakiyeyusha kwa maji ya moto au mvuke.

Nimefuata taarifa nyingi za watu wanaosema walipona corona bila kwenda hospitalini kule Ulaya, wengi wanasema walikua wanakunywa maji ya moto baada ya kila dakika 15, cha msingi ukianza kuhisi kwa namna fulani koo linaziba, kunywa maji ya moto tena sana na kwa kila mara, muhimu hakikisha kirusi hakipiti kwenye koo na kuingia kwenye mapafu maana baada ya hapo ndio inakua kiama, wengi wa wanaoaga dunia inatokana na kuruhusu kitue kwenye mapafu, hivyo ukifaulu kukiwahi kabla, mambo yataenda freshi.

Ukiweza anza kujizoesha unywaji wa maji ya moto hata kabla haujaumwa corona, mimi hii imekua desturi yangu kila siku kwa miaka kadhaa sasa, kila nikiamka kabla kula chochote lazima ninywe maji ya moto yaliyotiwa limau. Na imenisaidia pakubwa maana huwa siumwi kirahisi, na nikipata mafua yenyewe hufa ndani ya siku tatu.

Hivyo ndugu zangu wana Afrika Mashariki, huu ni ushauri mzuri.

Lakini tahadhari zibaki zile zile, epuka misongamano, tumia barakoa, takasa mikono kwa sanitizers baada ya kila dakika 30 au saa, nawa mikono kwa maji tiririka.

Mengine yote muachie Mungu maana alisema mwisho wa maarifa ya binadamu ndio mwanzo wa Mungu, hivyo ukitumia hekima yote aliyokupa, basi naye anaanzia hapo, ila usibweteke na kukaa kiuzembe.

..bwana mkubwa yeye hupenda kutuhimiza kumtanguliza MUNGU.

..baada ya hapo ndiyo tunaweka maarifa na juhudi kidooogo.
 
Huyu wa sasa ndiye jembe maana hapa sipati picha jinsi mamilioni ya Watz kuanzia leo itakua mwendo wa makarai na mijasho ya kujifukiza.
Hii Corona mpaka iishe yaani tu basi...tutacheka, tutalia, tutahuzunika...hisia zote kwa mpigo mmoja. Uliwahi kulia huku ukicheka???
Hata kabla Rais hajasema watu wamekuwa wakijifukiza, tena ninyi whites wannabes ndio kwa mara ya kwanza mmesikia neno "kujifukiza" sababu hilo kwenu haijawahi kuwepo.


Kujifukiza ni utamaduni wa mtanzania kujitibu magonjwa mbalimbali na kuimarisha Kinga yake.
 
..bwana mkubwa yeye hupenda kutuhimiza kumtanguliza MUNGU.

..baada ya hapo ndiyo tunaweka maarifa na juhudi kidooogo.

Hehehe!! Niliona kauli za kwamba corona haiwezi kuingia kanisani itaungua, ila Ummy akasema anataka awe mkweli akaanza kusoma namba kama zilivyo, zikapandisha siku mbili balaa, mkulu akaibuka na kupiga mkwara kwenye hotuba mpaka naona Ummy ameshindwa kutangaza tena, amebaki kuongea kuhusu waliopona.ambapo hao pia ametofautiana na mkulu, akiendelea kuchanganyikiwa hivi anaweza akatumbuliwa huo uwaziri..
 
Back
Top Bottom