Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 708
Kipindi hiki sasa kwa upande wa mawasiliano kinaanza kuzorota, kuanzia mashirika ya simu,pamoja na mauzo ya biashara ya simu.Tumeshuhudi viongozi wa serikali wakitoa maelezo kwenye vyombo vya habari ni jinsi gani simu zitakua katika system ya kutofanya kazi kwa kudai kuwa zina adhari za kuiga kutoka kenya, kwa maelezo yale wananchi wameyapokea vibaya sasa huduma zote za mawasiliano zimeanza kudorora. kwa kukopy kenya ilikua sio kitendo kizuri kwa kua kenya ina sera zake na mambo yake au ilikua tukopy zaidi vitu vya maendeleo, kuna mambo mawili ambayo kenya imeshindikizwa kuweka mpango huu ambao lain ya simu itachagua simu ya kufanya kazi na sio kuifungia simu,hapa tunavoona la kwanza inawezekana kuna shindikizo la kutoka nchi za magharibi ili kuwapunguza nguvu wachina,pili kuna tajir wa kisomali pale kenya ambaye amewekeza pesa nyingi sana kwenye kiwanda cha tecno ili awe anafanya biashara yeye tu,ambayo tecno hii haiuzwi duniani kote isipokua kenya,