Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,129
- 1,497
Haya ndo mambo ambayo watawala wamekuwa wakiyufanyia walalahoi hata hapa Tanzania. Mf. Rada, Kivuko kibovu, manunuzi ya bomber-died (kumbuka moja ipo karakana ni mbovu) na ujenzi wa Chato. Yaani ni ufisadi ufusadi. Na yote ni kwa vile chama dola kipo madarajani mda mrefu sasa.
The truth hurts.
The truth hurts.