WaTZ bila aibu mnatumia nguvu nyingi kupachika picha za uwanja wa ndege wa nchi nyingine na kudanganya eti ni JNIA mpya

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,748
48,371
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
 
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
 
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
MEAN WHILE AT ATCL
atcl.jpg
 
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
SHAME ON KADODA...AIBU SANA MZEE WA 50 KUDANGANYA UNALAANI WATOI WAKO
 
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
Bora umelisemea hili. Jana kutwa nzima wametujazia simu kwa picha za Oman wakidai ni JKNIA, kumbe sio
 
Mbona msiwe na fahari na cha kwenu hata kama kina sura mbaya kama zizi la ng'ombe.

Kuna hizi picha game over anazieneza humu kwenye nyuzi kadhaa akidai ni picha za JNIA mpya, ilhali picha zenyewe ni za uwanja wa ndege wa Waarabu kule Oman.

Hii hapa picha ya MUSCAT international Airport
New Muscat International Airport to offer enhanced passenger experience: Official - Oman
New-Muscat-International-Airport-to-offer-enhanced-passenger-experience-Official_StoryPicture.jpg



Hii hapa picha mnayotumia kusema ya kwenu
Kenya number one in the world in phone internet traffic
tapatalk_1521641111125-jpeg.721390


CC: kadoda11
Hio picha hata hainishangazi. Jambo linalonishangaza ni kwamba hakuna watanzania hapa JF walio notice kua hio sio picha halisi, 99% walisherehekea kana kwamba hio ni picha ya jnia.
No wengi wao hua wanapenda kujisifia hapa jf kua wao husafiri nchi mbali mbali , this means hua ni uongo mtupu , walitumia airport gani wakati hawajui hata JNIA inafanana vipi! This terminal has been under construction for the last 3 years na hakuna mtz wa hapa JF ameiona na macho yake mawili kiasi cha kujua hio picha so ya JNIA new terminal
 
Back
Top Bottom