Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,958
- 3,307
Hoja yangu ni fupi. Tunaelewa bidii kubwa inafanyika kiswahili kijitosheleze kwa misamiat kadri dunia inavyozalisha vitu vipya. Lakin naona baraza la kiswahili wanatumia njia moja zaid ya kutohoa maneno toka mfano kiingereza na kuunda kiswahili chake. Matokeo yake tunapata misamiat migumu kias unataman kuendelea na kiingereza au lugha ya kigeni.
Nataman tutungiane maneno mafupi na yanatamkika kirahisi. Si lazma kunyambulisha neno kama vile inatafsiriwa sentensi. Bilinguals wananielewa bila mifano
Nataman tutungiane maneno mafupi na yanatamkika kirahisi. Si lazma kunyambulisha neno kama vile inatafsiriwa sentensi. Bilinguals wananielewa bila mifano