Ifike hadi ngap?Mbona ndogo!! Waongeze kidogo.
Laki 2.Ifike hadi ngap?
Mtanzania.
Huo ni utaifa wako naulizia kabila......Mtanzania.
Ndio hiyo hiyo.Huo ni utaifa wako naulizia kabila......
Ndio hiyo hiyo.
Basi nipe kabila basi.
SA MKUU WA IDARA ANAPATA 600K PLUS HOUSING ALOWANCE NA ANAKAA NYUMBA YA SERIKALI, SIMU 200K, MAJI NA UMEME 200K MSHAHARA 3.5+M NA HUYO NI MKUU WA IDARA WA HALMASHAUSRI.Kama kichwa kinavyojieleza,
nimeambiwa na mkuu wangu wa idara kuwa watumishi wote wanaoishi kwenye nyumba za umma watalipa tsh 10000 kila mwezi. Malipo hayo yatakatwa moja kwa moja kwenye mshahara.
Siwez kukisia kabila lako ilihali sikufaham hata kwa picha ndugu yanguBasi nipe kabila basi.
Mie kabila lolote tu mpendwa.Siwez kukisia kabila lako ilihali sikufaham hata kwa picha ndugu yangu
Naona jinsi unavyo nichoka kiakiliMie kabila lolote tu mpendwa.