Saatatu
Member
- May 31, 2013
- 83
- 28
Nafahamu kabisa kuwa chama kinachoshinda uchaguzi ndiyo kinafanya au kinaunda serikali jwa maana ya WAZIRI MKUU, AG, RC, DC, KATIBU MKUU KIONGOZI nk.
Kwa siku nyingi sasa almost a year seikali hii ya CCM imeshindwa kutoa stahiki kwa watumishi wake ikiwemo:
√hakuna kupanda madaraja
√hakuna nyongeza ya mshahara wa mwaka
√kutolipa madai mbalimbali
√kutopandisha mishahara anghalau kuwepo na SALARY EQUITY
√Kutotoa uhamisho kwa wakati
√kushindwa kulipa gharama za uhamisho
√kushindwa kuajiri wasomi ktk kada tofautitofauti
√kuondoa mfumo wa NACTE TCU inaumuza wasio na kipato kikubwa
√Kutoa posho kwa upendeleo mf H/M anapewa posho wakati mwl mwingine ktk kituo hicho hapewi
√PAYE ni kubwa mno
√Makato ya 15% kwa wanufaika wa HESLB ni msalaba
Kwa haya yote serikali hii ya CCM haina nia njema na umma kabisa, hivyo wanaforum tufanyeje kuondoa ukiritimba wa kisiasa kupitia serikali hii??
Karibuni.
Kwa siku nyingi sasa almost a year seikali hii ya CCM imeshindwa kutoa stahiki kwa watumishi wake ikiwemo:
√hakuna kupanda madaraja
√hakuna nyongeza ya mshahara wa mwaka
√kutolipa madai mbalimbali
√kutopandisha mishahara anghalau kuwepo na SALARY EQUITY
√Kutotoa uhamisho kwa wakati
√kushindwa kulipa gharama za uhamisho
√kushindwa kuajiri wasomi ktk kada tofautitofauti
√kuondoa mfumo wa NACTE TCU inaumuza wasio na kipato kikubwa
√Kutoa posho kwa upendeleo mf H/M anapewa posho wakati mwl mwingine ktk kituo hicho hapewi
√PAYE ni kubwa mno
√Makato ya 15% kwa wanufaika wa HESLB ni msalaba
Kwa haya yote serikali hii ya CCM haina nia njema na umma kabisa, hivyo wanaforum tufanyeje kuondoa ukiritimba wa kisiasa kupitia serikali hii??
Karibuni.