MITOCHONDRIA
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 147
- 34
Hivyo ndivyo lilivyokuwa linasomeka tangazo la wizara ya afya lilivyowataarifu, watumishi wote wa wa kada za afya. Sasa mm najiuliza kuna haja gani ya kupromise tarehe mbele ya public ambalo kutimizwa kwake ni vigumu. Leo ni tarehe 18 june hata hayo majina na jinsi walivyopangiwa maeneo yao mapya ya kazi bado, hebu wana jf mwenye infor atujuze.