mbayumbayu
Senior Member
- Jan 25, 2012
- 110
- 82
Nyongeza yoyote ya mishahara iende sambamba na maboresho ya pension vinginevyo wastaafu watazidi kuumia. Kutopanda kwa mishahara miaka hii 5 kumewasaidia sana wastaafu wetu. I stand to be guided!!
Sio mawazo imetekelezwa kwa kishindo soma uzi wa mwaka ganiMawazo ya pimbi
Kwa hiyo uliona wanafaidi saana,au kwa kuwa kundi lako ni tofauti na wear.Wanabodi ,Mfumuko wa bei au wengine wanaita Inflation haujaathiri bei za bidhaa tangu mwaka 2014 .Kwa kuwa mfumuko wa bei haujabadilika na bei za vitu hazijabadilika ndivyo hivyo uwezo wa watu kuuza au kununua haujabadiliaka, yaani "Purchasing Power"
Ongezeko la mishahara lazima liendane na uzalishaji mali iwe huduma au bidhaa pamoja na mfumuko wa bei.
Soma uzi huu wa 2018:Watumishi wa umma jifunzeni kuhusu ongezeko la mishahara na siasa za uzalishaji wa sekta binafsi
Wana JF, Hakuna kitu kikubwa kama kuelewa kwanini unalipwa mshahara na ni nani anakulipa mshahara? Ukipata jibu ya swali hili hutalalamika kwnini huongezewi mshahara au hupandishwi daraja na hata ukipandishwa unabaki na mshahara wako ulivyo kuwa awali Nchi yeyote ile duniani huendeshwa na...www.jamiiforums.com
Bei za bidhaa hasa za vyakula zinazogusa watanzania wengi ni bei nafuu na hazijabadilika tangu mwaka 2014. Suala la kuwa na bei ambazo haziyumbi ni kutokana na utendaji bora wa Rais John Pombe Magufuli.
Vitu visivyokuwa na umuhimu kwa watanzania yaani luxury hayo ni mambo binafsi ya mtu hayahusiani na Serikali, Vitu kama nguo,magari au nyumba ni mambo binafsi hayawagusi maelfu ya Watanzania.
Ni muda muafaka Serikali kuangalia Sekta ya Umma na jinsi ya kupunguza matumizi kwenye Sekta hii hasa mishahara kuelekea 2025
Pesa zote zinazokusanywa kila mwezi karibu nusu au bilioni 500 zinatumika kulipa mishahara hawa watumishi wa uma na Serikali inabaki na pesa kidogo sana kwa ajili ya maendeleo.
Watumishi wazalendo na wenye uchungu na nchi hii wapo tayari kupunguziwa mishahara yao kwa kuundwa kwa scale mpya za mishahara ili ziandane na dira na ilani ya chama ya 2020-2025
Hakuna haja ya serikali kuumiza kichwa kwa watanzania wachache ambao wameajiriwa na serikali wasiofika hata idadi ya watu laki tano kwa kuwaongeza mishahara wakati mfumuko wa bei haujabadilika tangu mwaka 2014
Ni matarajio ya wengi Rais Magufuli atalisimamia hili la mfumuko wa bei hivyo hakutakuwa na ongezeko la mishahara kuelekea 2025. Mfumuko wa bei ukibadilika kidogo tena kidogo kwa mbali naweza shawishi serikali iongeze mishahara
Kwa hali ya sasa na ukuaji wa uchumi wa kati hakuna haja ya kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma
Aidha,Namuunga mkono Maalim Seif na ACT Wazalendo kwa uamuzi wao wa kushiriki kulijenga Taifa imara la zanzibar
Mwisho, CCM Tutaendelea kushinda kwa kishindo zaidi kwa kutumia mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi kulingana na mahitaji ya watanzania kwa wakati muafaka.
Kuna uzi kafungua wa kuomba radhi kwa haya yote aliyokuwa anafanya kipindi mwenda zake yupo.Jealous is the last class to attend before you become a witch.
Hizi ndiyo athari za kutumia kijambio kufikiriWanabodi ,Mfumuko wa bei au wengine wanaita Inflation haujaathiri bei za bidhaa tangu mwaka 2014 .Kwa kuwa mfumuko wa bei haujabadilika na bei za vitu hazijabadilika ndivyo hivyo uwezo wa watu kuuza au kununua haujabadiliaka, yaani "Purchasing Power"
Ongezeko la mishahara lazima liendane na uzalishaji mali iwe huduma au bidhaa pamoja na mfumuko wa bei.
Soma uzi huu wa 2018:Watumishi wa umma jifunzeni kuhusu ongezeko la mishahara na siasa za uzalishaji wa sekta binafsi
Wana JF, Hakuna kitu kikubwa kama kuelewa kwanini unalipwa mshahara na ni nani anakulipa mshahara? Ukipata jibu ya swali hili hutalalamika kwnini huongezewi mshahara au hupandishwi daraja na hata ukipandishwa unabaki na mshahara wako ulivyo kuwa awali Nchi yeyote ile duniani huendeshwa na...www.jamiiforums.com
Bei za bidhaa hasa za vyakula zinazogusa watanzania wengi ni bei nafuu na hazijabadilika tangu mwaka 2014. Suala la kuwa na bei ambazo haziyumbi ni kutokana na utendaji bora wa Rais John Pombe Magufuli.
Vitu visivyokuwa na umuhimu kwa watanzania yaani luxury hayo ni mambo binafsi ya mtu hayahusiani na Serikali, Vitu kama nguo,magari au nyumba ni mambo binafsi hayawagusi maelfu ya Watanzania.
Ni muda muafaka Serikali kuangalia Sekta ya Umma na jinsi ya kupunguza matumizi kwenye Sekta hii hasa mishahara kuelekea 2025
Pesa zote zinazokusanywa kila mwezi karibu nusu au bilioni 500 zinatumika kulipa mishahara hawa watumishi wa uma na Serikali inabaki na pesa kidogo sana kwa ajili ya maendeleo.
Watumishi wazalendo na wenye uchungu na nchi hii wapo tayari kupunguziwa mishahara yao kwa kuundwa kwa scale mpya za mishahara ili ziandane na dira na ilani ya chama ya 2020-2025
Hakuna haja ya serikali kuumiza kichwa kwa watanzania wachache ambao wameajiriwa na serikali wasiofika hata idadi ya watu laki tano kwa kuwaongeza mishahara wakati mfumuko wa bei haujabadilika tangu mwaka 2014
Ni matarajio ya wengi Rais Magufuli atalisimamia hili la mfumuko wa bei hivyo hakutakuwa na ongezeko la mishahara kuelekea 2025. Mfumuko wa bei ukibadilika kidogo tena kidogo kwa mbali naweza shawishi serikali iongeze mishahara
Kwa hali ya sasa na ukuaji wa uchumi wa kati hakuna haja ya kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma
Aidha,Namuunga mkono Maalim Seif na ACT Wazalendo kwa uamuzi wao wa kushiriki kulijenga Taifa imara la zanzibar
Mwisho, CCM Tutaendelea kushinda kwa kishindo zaidi kwa kutumia mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi kulingana na mahitaji ya watanzania kwa wakati muafaka.
mmmhHizi ndiyo athari za kutumia kijambio kufikiri
Ameshatubu,msameheni.Hizi ndiyo athari za kutumia kijambio kufikiri
Hatuhitaji mishahara kupanda kwakuwa utendaji umeshuka.toka JIWE aingie 2015 utumishi tumekuwa na utendaji wa hovyo ndio maana nchi imeingia kwenye madeni makubwa yasiyolipika kutokana na ushauri unaoitwa wa watendaji.Wanabodi ,Mfumuko wa bei au wengine wanaita Inflation haujaathiri bei za bidhaa tangu mwaka 2014 .Kwa kuwa mfumuko wa bei haujabadilika na bei za vitu hazijabadilika ndivyo hivyo uwezo wa watu kuuza au kununua haujabadiliaka, yaani "Purchasing Power"
Ongezeko la mishahara lazima liendane na uzalishaji mali iwe huduma au bidhaa pamoja na mfumuko wa bei.
Soma uzi huu wa 2018:Watumishi wa umma jifunzeni kuhusu ongezeko la mishahara na siasa za uzalishaji wa sekta binafsi
Wana JF, Hakuna kitu kikubwa kama kuelewa kwanini unalipwa mshahara na ni nani anakulipa mshahara? Ukipata jibu ya swali hili hutalalamika kwnini huongezewi mshahara au hupandishwi daraja na hata ukipandishwa unabaki na mshahara wako ulivyo kuwa awali Nchi yeyote ile duniani huendeshwa na...www.jamiiforums.com
Bei za bidhaa hasa za vyakula zinazogusa watanzania wengi ni bei nafuu na hazijabadilika tangu mwaka 2014. Suala la kuwa na bei ambazo haziyumbi ni kutokana na utendaji bora wa Rais John Pombe Magufuli.
Vitu visivyokuwa na umuhimu kwa watanzania yaani luxury hayo ni mambo binafsi ya mtu hayahusiani na Serikali, Vitu kama nguo,magari au nyumba ni mambo binafsi hayawagusi maelfu ya Watanzania.
Ni muda muafaka Serikali kuangalia Sekta ya Umma na jinsi ya kupunguza matumizi kwenye Sekta hii hasa mishahara kuelekea 2025
Pesa zote zinazokusanywa kila mwezi karibu nusu au bilioni 500 zinatumika kulipa mishahara hawa watumishi wa uma na Serikali inabaki na pesa kidogo sana kwa ajili ya maendeleo.
Watumishi wazalendo na wenye uchungu na nchi hii wapo tayari kupunguziwa mishahara yao kwa kuundwa kwa scale mpya za mishahara ili ziandane na dira na ilani ya chama ya 2020-2025
Hakuna haja ya serikali kuumiza kichwa kwa watanzania wachache ambao wameajiriwa na serikali wasiofika hata idadi ya watu laki tano kwa kuwaongeza mishahara wakati mfumuko wa bei haujabadilika tangu mwaka 2014
Ni matarajio ya wengi Rais Magufuli atalisimamia hili la mfumuko wa bei hivyo hakutakuwa na ongezeko la mishahara kuelekea 2025. Mfumuko wa bei ukibadilika kidogo tena kidogo kwa mbali naweza shawishi serikali iongeze mishahara
Kwa hali ya sasa na ukuaji wa uchumi wa kati hakuna haja ya kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma
Aidha,Namuunga mkono Maalim Seif na ACT Wazalendo kwa uamuzi wao wa kushiriki kulijenga Taifa imara la zanzibar
Mwisho, CCM Tutaendelea kushinda kwa kishindo zaidi kwa kutumia mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi kulingana na mahitaji ya watanzania kwa wakati muafaka.
Jiwe lilishasaga noti zote.Sio kwamba serikali haitaki kuongeza mishahara, bali haina pesa ya kufanya hivyo. Hii porojo ndefu ni kufunika ukweli huo.