Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kosa ni kutokuwa na elimu, ungekuwa umemaliza hata la nne ungelifahamu namna circulation of money inavyofanyika.Wewe ni mtumishi wa uma?
Mbona unatoa povu jingi sana
Povu jingi halifanya nguo ionekane safi
Chapa kazi kama umechoka acha kuna maelfu ya vijana mtaani