Watumishi wa Umma waombwa na Hazina kuorodhesha Dini na Kabila zao. Rais Samia na Wasaidizi wako, haya yanafanyika kwa lengo gani?

Nahisi kama kuna kundi linatakiwa kuwa eliminated kabisa ndani ya nchi. Kwa kuwa nia ya kukusanya tawkimu kwa majina binafsi haijawekwa wazi, ninahisi kama sasa wasiotakiwa wataanza kuwa replaced, frustrated ama sidelined na kuawa kabisa ili agenda inayofukuziwa ifikiwe.

Huu ni wasiwasi mkubwa unaosababishwa na haya mambo ya ajabu yanayotokea katika kipindi cha uharifu ufiohojiwa wala kutolewa maelezo.
Ninapata wasiwasi na usalama wa hao kundi lililo kwenye black list.
Mkuu sio kundi dogo, ni udini, element of Christianity, they want uchifu na uislamu na mambo maovu kama mimba mashuleni, wanawake kutawala dunia, kuweka nchi rehani kwa matajiri na mabeberu n.k ndio uelekeo unaoonekana kwa dots zilizopo,
 
Kama kutukanana na kudhalilishana kutakuwa kwa jinsi ya kabila huoni huo ni ukabila tayari? Hatuongozwi na rules za kabila wala dini yeyote sheria zetu siyo kama za Uganda au Kenya ambapo hayo mambo yalizingatiwa sisi yetu ni kutokana na katiba, acheni hayo mambo please!
Wazungu wana msemo mmoja usemao, "knowing your enemy is half winning the war", au kwa tafsiri ya Kiswahili isiyo rasmi sana, "kumjua adui yako tu ni kushinda nusu ya vita yenyewe".

Hata kwenye mtihani, ukishalielewa swali tu tayari unakuwa umeshalifaulu nusu. Ndiyo maana Walimu huwa wanatusisitiza tusome swali tulielewe kabla ya kuanza kulifanya.

Sina cha kukujibu kwasababu hujanielewa ila umekimbilia ku-comment.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hivi ni vitu vya kawaida sana kuwepo kwenye CV.

Kwa kule Kigoma wakimbizi wengi wamejichanganya na wabongo na kujifanya wao ni watanzania na wapo wengi walioajiriwa kwenye shughuli mbalimbali.

Pengine record kama hizi ndio zitasaidia wengine waweze kupata kitambulisho cha Taifa.
 
Habari wana JF ..

Mimi niliahidi sitamkosoa Rais Samia, kwa sababu nilishawakosoa sana ma Rais wa nchi hii hadi nachoka; lakini Kuna mambo ni mazito huwezi hata kufikiri yanaweza kufanyika kwa karne hii.

Mimi niwaombe Serikali, niwaombe CCM, niwaombe washauri wa Rais, kama mmechoka, mtuachie hili Taifa.
Wengine bado tunataka kuliona Taifa letu likiwa moja.

Vyombo vya usalama, basi mshaurini mheshimiwa Rais vizuri, msijisahau sana mkaiacha nchi kwenye auto-pilot.
Niwakumbusheni Taifa hili halikujengwa kwa matofali, la hasha!

Mpitisheni Mh. Rais katika historia ndogo ndogo zile njema, zilizotufanya Watanzania japo tukawa wamoja, potelea pote na umaskini wetu.

Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......

Zipo taarifa zingine, za kipuuzi zinazoombwa, ila haina haja sana kuzitaja, kwani hazina athari sana kama hizi mbili.

Hivi kweli, leo mnataka DINI ya mtumishi, iwasaidie nini?
Hii taarifa mnaitumia kuboresha nini?
Udini wa nini katika Tz ya leo.
Tuna ajenda gani na Dini za watu, (watumishi). DINI, DINI.....DINI...!!!!?....,leo tunauliza DINI yako ni ipi? Kweli mh. Rais Samia.

Halafu mnataka na KABILA, kabila la mtumishi litumike kuboresha nini?
Mna ajenda gani huko?

KABILA, leo mnamuuliza mtu KABILA. Kweli mh Rais Samia , ulisema wewe huna kabila, sijui ni Mzanzibar, sasa hawa watumishi, karne ya 21, mwaka 2022, wawajazie makabila yao, muyajue, myafanyie nini?!

Mh Rais Samia, hebu kataa mambo mengine.

Siku Taifa hili likiparaganyika mikononi mwako, hao unaowaona, watakukataa.

Mfumo wa CV (format) na taarifa zinazotakiwa nimeambatanisha hapa.
denooJ , MTAZAMO , barafu , Tindo , Chige , shige2 , Malcolm X5 , MALCOM LUMUMBA ,

Mbona Police unaulizwa kabila na Dini ? Acha Propoganda zako
 
Huu ni upumbavu na hatari kubwa!

Serikali inataka kujenga makanisa na misikiti? Serikali inataka kutengeneza taratibu za kufanya matambiko?

Mwalimu must be rolling in his grave!
Wasiokua na dini wanakomenti wapi?
Kama ni swala la kujua kabila na dini ya mtu si majina tu yanatosha kuonyesha hayo?
 
Baba yangu muasisi wa Taifa Mh. Baba wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere . Ulijua madhara ya Udini na Ukabila ukavipinga na tukawa wamoja. Ule Umoja Baba haupo tena. Wanatugawa kwa Ukabila, Udini na Ukanda. Baba ninatamani ungefufuka uje ushangae na ukifa tena uombe usifufuke tena maana ni tishio kwa Yale mengi mazuri uliyojitolea kuyafanya kwa Taifa hili. Nimeandika kwa Uchungu Mkubwa mno. Tumekuwa wahanga ndani ya nchi yetu uliyotuachia yenye upendo na kupendana na kujaliana. Leo hii kuna mafisadi na wanaofisadiwa, Matajiri na Masikini wanaonyonywa mpaka tone la damu karibia wanakufa. Watu wako busy kugawana Ile keki Kwa kupeana madaraka na Ulaji. Mimi nisiyekuwa na God father ndiyo ninabaki kuchunwa mpaka mbavu zutavunjwa ili kundi Fulani lineemeke. Kama mtu mzima nimesikitika Sana.
 
ivi kweli hiki ni kitu kipya???? mbona watanzania tuna lawama sanaaa..... mbona hizo ni taarifa za kawaida sanaaa tena baadhi ya watumishi huzijaza kila mwisho wa mwaka...

ulivyoandika ni kana kwamba hata huko shuleni ulikopitia hukuwahi kuliona hili... tena hadi vikundi vipo, huko maofisini mna hadi makundi ya kikabila

BADILIKA sio kila kitu Raisi, Raisi.....

ulisema hutakosoa so ishu zingine zote zinazoendelea kwako ni sawa ni hii ndo imekuumuza????
Tena hata unapodahiliwa au kuomba mkopo wa chuo Kuna hivyo vipengele acheni Udini
 
Wasiokua na dini wanakomenti wapi?
Kama ni swala la kujua kabila na dini ya mtu si majina tu yanatosha kuonyesha hayo?
Mkuu wapo ambao ni wapagani. Ukweli nikiletewa hiyo fomu ningekuwa mtumishi wa Umma ningeandika sina dini. Ni huzuni kubwa mno. Upinzani uko wapi watoe press? Hili Jambo tusilifumbie macho kabisa. Leo ninaweka Uchama pembeni Kwa maslahi mapana. Ndiyo uzalendo na Umoja aliyoniachia hayati Baba wa Taifa kwa kunipa Elimu Bure na Huduma za Afya Bure. Hata maji ilikuwa ni Bure. Sipingi kuchangia Kwa kuwa Serikali Kwa sasa ilishabinafshisha vyanzo vyake vya mapato Ila nimekumbuka nilikotoka. Yaani kichwani kwangu sina dini wala Ukabila. Tena marafiki zangu wakubwa ni makabila tofauti na kabila langu na dini zote mpaka wapagani. Futeni hayo mambo ya dini na Ukabila haraka Sana.
 
Ni hearsay na rumors kama nyingine tu. Kikwete anaweza kuombwa ushauri yes kama mtu pekee aliyeshika hicho kiti ambaye uwezo wake wa akili bado upo vizuri (tofauti na mzee tulsa), lakini kuamini yeye ndiye anaye-remote mambo ni upunguani na upumbavu tu.
Huyo ndiye haswa alisimamia Udini na Ukabila. Tunajua Mengi Ngoja tukae kimya. Vetting za enzi zile ndiyo ninayoyaona live sasa.
 
Akili yako haina akili. Kumtumbua kitwanga akawekwa nani vile.. usijitie umesahau Kiroboto.
Magufuli ndio mwalimu wa Samia wa haya yote. Tuendelee kushangilia ndio legacy yenyewe .
Hili ndio mnalonisikitisha Wapumbavu, mnashangilia wakiumizwa wengine na mnajiliza yakiwakuta.. pumbavu kabisa kabisa…

Sipendezwi na USHENZI wa Chui jike na sikupendezwa na UKICHAA wa Jiwe.
Sisi tunawakumbusha tu kuwa, muosha uwoshwa..! Mvumilie.
Umeliweka vizuri hili, sikuona huo uzuri wa Magufuli ambao watu wanausema hapa na pia siuoni huoni huo uzuri wa Samia watu wanausema hapa.
Nilichokiona Kuna watu wameamua kuwa wajinga na wapumbavu
 
Habari wana JF ..

Mimi niliahidi sitamkosoa Rais Samia, kwa sababu nilishawakosoa sana ma Rais wa nchi hii hadi nachoka; lakini Kuna mambo ni mazito huwezi hata kufikiri yanaweza kufanyika kwa karne hii.

Mimi niwaombe Serikali, niwaombe CCM, niwaombe washauri wa Rais, kama mmechoka, mtuachie hili Taifa.
Wengine bado tunataka kuliona Taifa letu likiwa moja.

Vyombo vya usalama, basi mshaurini mheshimiwa Rais vizuri, msijisahau sana mkaiacha nchi kwenye auto-pilot.
Niwakumbusheni Taifa hili halikujengwa kwa matofali, la hasha!

Mpitisheni Mh. Rais katika historia ndogo ndogo zile njema, zilizotufanya Watanzania japo tukawa wamoja, potelea pote na umaskini wetu.

Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......

Zipo taarifa zingine, za kipuuzi zinazoombwa, ila haina haja sana kuzitaja, kwani hazina athari sana kama hizi mbili.

Hivi kweli, leo mnataka DINI ya mtumishi, iwasaidie nini?
Hii taarifa mnaitumia kuboresha nini?
Udini wa nini katika Tz ya leo.
Tuna ajenda gani na Dini za watu, (watumishi). DINI, DINI.....DINI...!!!!?....,leo tunauliza DINI yako ni ipi? Kweli mh. Rais Samia.

Halafu mnataka na KABILA, kabila la mtumishi litumike kuboresha nini?
Mna ajenda gani huko?

KABILA, leo mnamuuliza mtu KABILA. Kweli mh Rais Samia , ulisema wewe huna kabila, sijui ni Mzanzibar, sasa hawa watumishi, karne ya 21, mwaka 2022, wawajazie makabila yao, muyajue, myafanyie nini?!

Mh Rais Samia, hebu kataa mambo mengine.

Siku Taifa hili likiparaganyika mikononi mwako, hao unaowaona, watakukataa.

Mfumo wa CV (format) na taarifa zinazotakiwa nimeambatanisha hapa.
denooJ , MTAZAMO , barafu , Tindo , Chige , shige2 , Malcolm X5 , MALCOM LUMUMBA ,

jaza mpagani,
 
Ni Hospitali na Magereza tu tu ambako taarifa za dini zilikuwa zinachukuliwa kwa sababu iwapo mgonjwa akifa ijulikane maiti yake itafanywaje kwa misingi ya dini yake. Siyo kazini; mimi pia nilifanya kazi serikalini mwishoni mwa utawala wa Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa utawala wa Mkapa; sikuwahi kuulizwa taarifa za dini yangu wala kabila langu !
Mfanyakazi anaweza kufa kazini ghafla inabidi tujue dini yake ili tujue mwili wake utafanywaje
 
Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......
Hii kitu huwa inafanywa polisi pia kama ukienda kushtaki au kushitakiwa
 
Mfanyakazi anaweza kufa kazini ghafla inabidi tujue dini yake ili tujue mwili wake utafanywaje
Unataka ushughulike na marehemu kama nani?
Mfanyakazi anapashwa kuweka contact information ya ndugu jamaa kama kuna jambo la dharura... hao ndio watajua imani ya Mtumishi
Hii dini kabila is nonsense
Vitambulisho vya Taifa ndio muhimu mengine hayawahusu (Uraia ndio muhimu) tumeajiri wageni wengi mno

Mtumishi aelimishwe namna ya kuandaa 'Will'
 
Waandishi wa habari nchi hii hopeless kabisa zingekuwa nchi zingine zilizoendelea wangekuwa wangemshukia kama mwewe kuhoji waziri wa fedha au Raisi

Naomba BBC wamhoji raisi ukabila na udini wa mini na motive ya hii kitu ni nini?

BBC hojini Rais hilo
Waandishi wahoji kitu gani na hoja hakuna. Wananchi wanaulizwa dini na makabila yao sehemu nyingi sana za umma na hii haikuanza jana wala leo acheni ukuda
 
Akili yako haina akili. Kumtumbua kitwanga akawekwa nani vile.. usijitie umesahau Kiroboto.
Magufuli ndio mwalimu wa Samia wa haya yote. Tuendelee kushangilia ndio legacy yenyewe .
Hili ndio mnalonisikitisha Wapumbavu, mnashangilia wakiumizwa wengine na mnajiliza yakiwakuta.. pumbavu kabisa kabisa…

Sipendezwi na USHENZI wa Chui jike na sikupendezwa na UKICHAA wa Jiwe.
Sisi tunawakumbusha tu kuwa, muosha uwoshwa..! Mvumilie.
Kwa hiyo utafanyaje sasa! Maana keki ya taifa inaliwa na kila mtu saizi! Mwache mama afanye anavotaka! Maana nyinyi mlizoea kuiba saizi mambo yamebadilila sana! Vijana wenu wa kichaga wapo mtaani maisha yanawapiga kama kawa!
 
Juzi nimemsikia Mtoto wa Raisi wa Uganda ambaye ni mkuu wa maJeshi ya Uganda anasema nimeonhea na mjomba wangu Raisi P Kagame kuhusu mgogoro tumemaliza
 
Back
Top Bottom