Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Mkuu sio kundi dogo, ni udini, element of Christianity, they want uchifu na uislamu na mambo maovu kama mimba mashuleni, wanawake kutawala dunia, kuweka nchi rehani kwa matajiri na mabeberu n.k ndio uelekeo unaoonekana kwa dots zilizopo,Nahisi kama kuna kundi linatakiwa kuwa eliminated kabisa ndani ya nchi. Kwa kuwa nia ya kukusanya tawkimu kwa majina binafsi haijawekwa wazi, ninahisi kama sasa wasiotakiwa wataanza kuwa replaced, frustrated ama sidelined na kuawa kabisa ili agenda inayofukuziwa ifikiwe.
Huu ni wasiwasi mkubwa unaosababishwa na haya mambo ya ajabu yanayotokea katika kipindi cha uharifu ufiohojiwa wala kutolewa maelezo.
Ninapata wasiwasi na usalama wa hao kundi lililo kwenye black list.