YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Hiyo ilikuwa zamani sana ikafutwa baadayeBoss sio kweli mm wakati naanza ajira kuna kipengele kwenye mkataba wangu ajira za serikali kinauliza dini.Hili jambo sio jipya nashangaa kuona mleta mada analikuza kana kwamba limekuja leo.Au kwakuwa kwenye ajira za serikali ni mgeni.