Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Tuliwalaumu na kuwalaani wakoloni kwa mambo mengi mojawapo ikiwa ni kutoa ujira mdogo kwa watu weusi na tukaamini tukipata uhuru, mambo haya yataisha.
Cha ajabu, leo hii watwala ambao ni watanzania wenzetu, wanaturudisha kule kule tulikotoka sio tu kwa kutoa mishahara inayoendana na gharama halisi za maisha, bali sasa tunashududia watumishi wa umma wakiingia mwaka wa sita huku mishahara yao ikibaki ni ile ile kwa maana ya kutotoa nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano na sasa tukiingia mwaka wa sita isipokuwa kwa wachache waliobahatika kupandishwa mishahara kutokana na kupanda vyeo.
Hakika hii si haki na sitashangaa hata mwaka huu wasipopandisha na zaidi nitashangaa iwapo watapandisha.
Miongo sita ya kujitawala mambo ndio haya!
This is very, very inhumane!
Cha ajabu, leo hii watwala ambao ni watanzania wenzetu, wanaturudisha kule kule tulikotoka sio tu kwa kutoa mishahara inayoendana na gharama halisi za maisha, bali sasa tunashududia watumishi wa umma wakiingia mwaka wa sita huku mishahara yao ikibaki ni ile ile kwa maana ya kutotoa nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano na sasa tukiingia mwaka wa sita isipokuwa kwa wachache waliobahatika kupandishwa mishahara kutokana na kupanda vyeo.
Hakika hii si haki na sitashangaa hata mwaka huu wasipopandisha na zaidi nitashangaa iwapo watapandisha.
Miongo sita ya kujitawala mambo ndio haya!
This is very, very inhumane!