Sio uzushi ndugu.... Take it from me, barua zimeshuka watolewe kabisa kwenye payroll.Huu uzushi sijui umeanzia wapi!??
Kweli wewe ni tahira, watu hufanya kazi kwa kufuata sheria za nchi,sheria za utumushi zimetoa ruhusa kwa mtumishi yoyote kuomba ruhusa isiyokuwa na malipo kwa majiri wake kwenda kugombea kama atahitaji na ikitokea ameteuliwa na chama inambidi mtumishi huyo kuacha kazi.Kuna tangazo linazunguka juu ya kutolipwa mishahara kwa wafanyakazi wa umma ambao walichukua fomu za kuomba kupata ridhaa kutokak chama cha mapinduzi ili wapeperushe bendera ya kuwania nafasi za ubunge.
Binafsi naunga mkono katazo la kutolipwa mshahara wa mwezi huu wa julai, ila kwa mtazamo wangu hawa wangefukuzwa na kufutwa kabisa katika utumishi wa umma...
Azina wameshatoa walaka mkuu..Source?
Kuna tangazo linazunguka juu ya kutolipwa mishahara kwa wafanyakazi wa umma ambao walichukua fomu za kuomba kupata ridhaa kutokak chama cha mapinduzi ili wapeperushe bendera ya kuwania nafasi za ubunge.
Binafsi naunga mkono katazo la kutolipwa mshahara wa mwezi huu wa julai, ila kwa mtazamo wangu hawa wangefukuzwa na kufutwa kabisa katika utumishi wa umma...
Du, hili povu ni la Nini hivi? Unapata shida gani Kama wakigombea na bado ni waajiriwa na mishahara yao! Au ndio unataka kumuingizaza mtegoni mkuu wetu wa nchi ili wafanyakazi na watia Nia wamchukie eeh!Kuna tangazo linazunguka juu ya kutolipwa mishahara kwa wafanyakazi wa umma ambao walichukua fomu za kuomba kupata ridhaa kutokak chama cha mapinduzi ili wapeperushe bendera ya kuwania nafasi za ubunge.
Binafsi naunga mkono katazo la kutolipwa mshahara wa mwezi huu wa julai, ila kwa mtazamo wangu hawa wangefukuzwa na kufutwa kabisa katika utumishi wa umma...
Magufuli anapenda pesa yako,watia nia elfu kumi wameingizia chama billion mmoja .Yaani mtu umeenda kugombea, umeomba ruhusa ya siku 3, kufika jimboni unaambiwa chama hakina fedha za kusafirisha wapiga kura, umechangia mshahara wako laki 9, ili wapiga kura wale, wanywe, halafu unapata kura moja , tena huku unasikia mshahara wa julai hamna. CCM Mungu anawaona.
Kwa kiasi kikubwa uchaguzi huu umesaidiwa na watumishi
Bahati mbaya kwako ni kwamba Utumishi wa Umma hauongozwi kwa mawazo au matamanio binafsi ya mtu mmoja mmoja, bali kwa sheria na kanuni zake. Kuna hatua za uchaguzi ambazo mtumishi wa umma anaruhusiwa kufika bila ajira yake kuathirika, na pia zipo ambazo akifikia basi ajira yake huathirika. Vyote hivyo vipo katika sheria, kanuni na miongozo ya utumishiBinafsi naunga mkono katazo la kutolipwa mshahara wa mwezi huu wa julai, ila kwa mtazamo wangu hawa wangefukuzwa na kufutwa kabisa katika utumishi wa umma. Hawafai na walafi. Nchi imejaa vijana wengi waliohitimu vyuo wakihaha kutafuta kazi. Jitu limepewa kazi linatamaa ya kutaka Ubunge, hawa hawafai kbs ni bora wafukuzwe kazi wakalime. Ni ujinga wa hali ya juu kucheza na kazi.
Duhh... Mbona noma sasa hii Mkuu.Sio uzushi ndugu.... Take it from me, barua zimeshuka watolewe kabisa kwenye payroll.
Akiingia kwenye website ya utumishi atapata Waraka wa Utaratibu kwa Watumishi wa Umma Wanaogombea Nyadhifa za KisiasaBahati mbaya kwako ni kwamba Utumishi wa Umma hauongozwi kwa mawazo au matamanio binafsi ya mtu mmoja mmoja, bali kwa sheria na kanuni zake. Kuna hatua za uchaguzi ambazo mtumishi wa umma anaruhusiwa kufika bila ajira yake kuathirika, na pia zipo ambazo akifikia basi ajira yake huathirika. Vyote hivyo vipo katika sheria, kanuni na miongozo ya utumishi
Serikali haiongozwi kwa huruma ya mtu mmoja,hilo swala lipo kwenye taratibu/kanuni/sheria za utumishi wa umma ,hakuna mtia nia ambaye alikuwa hajui consequences zake!Zipo taarifa za kuzuia mishahara ya watumishi waliogombea nafasi mbalimbali katika mwezi huu wa Julai, aliyetoa ushauri huu ana nia ya kutaka kumuharibia Rais Magufuli 2020, Oktoba 28.
Rais Magufuli nikuombe uingilie kati hili, si jambo la afya na ukingazatia watia nia hao wataombwa kwenda kusaidia kuweka umoja katika majimbo waliogombea, nani atakubali kwenda kusaidia chama wakati mshahara wake ulikatwa...
Huyu mbaba anavunja sana sheria.Bahati mbaya kwako ni kwamba Utumishi wa Umma hauongozwi kwa mawazo au matamanio binafsi ya mtu mmoja mmoja, bali kwa sheria na kanuni zake. Kuna hatua za uchaguzi ambazo mtumishi wa umma anaruhusiwa kufika bila ajira yake kuathirika, na pia zipo ambazo akifikia basi ajira yake huathirika. Vyote hivyo vipo katika sheria, kanuni na miongozo ya utumishi
Kwa lugha rahisi mshahara wa mwezi wa Saba Kuna uwezekano mkubwa kuchelewa.