Watumishi wa umma wahitaji salary slip wakope kupeleka watoto shule

Ingia
www.utumishi.go.tz
Kushoto tafuta watumishi portal, kisha jisajili. Ili kujisajili utahitaji
1. Email yako
2. Check no (hii ndo itakua na taarifa zako)
3. Password
Ukishajisajili sasa utaweza ku Log in katika hiyo portal.
Kiufupi portal yao wamejitahidi kwa level yetu, iko simple na rahisi kutumia, wana
1. Taarifa zako (hapa ndipo kuna kipengele cha salary slip)
2. Option ya kutafta mtu wa kubadili kituo cha kazi
3. Sehem ya kuwasilisha malalamiko na kufuatilia
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi wako nimeziona taarifa zangu kiurahisi kwa kweli wamejitahidi kuturahisishia ila ,ila tatizo HR awataki kutuambia kuwa kuna njia ya kuprint salary slip .kweli ubarikiwe kwa kunitoa matongongo
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi wako nimeziona taarifa zangu kiurahisi kwa kweli wamejitahidi kuturahisishia ila ,ila tatizo HR awataki kutuambia kuwa kuna njia ya kuprint salary slip .kweli ubarikiwe kwa kunitoa matongongo
Karibu mkuu
Wote tuko njia moja mkuu.
 
Watumishi wa umma wanahangaika kupata salary slip ili waweze kukopa kwenye mabenki,kuwalipia watoto ada,wamesema tangu mwezi wa 8 hawajapata salary slip mpaka Sasa,ukiuliz unabiwa hazijatoka,wanamuomba waziri husika,afuatilie jambo hilo.
acha uongo wewe ingi watumishi.go.tz u print
 
Wadau wa jamii forum hili suala la kutopatikana kwa salary slip kwa muda mrefu ni tatizo kubwa sana. Mimi mwenyewe ni mtumishi wa serikali na nina ushahidi na hilo maana salary slip ya mwisho kuipata mwaka huu ni ya mwezi wa 4 mwaka huu 2016. Na baada ya hapo ndio sijapata tena hadi kufulia December hii. Na si mimi tu ni wafanyakazi wote ktk Taasisi ninayofanyia kazi nao wote hawajapata. Yaani sielewi tatizo ni nini!!
 
Mleta hoja wewe unamatatizo sana mshahara sasa unatoka tarehe 22 hadi 24 ya kila mwezi halafu unasema salary slip hazitoki unaakili kweli ama unaleta umbea hapa. Salary slip haziwezi kushindwa kutolewa kama mshahara umesha lipwa. Nenda kaulize hiyo organization wanamatatizo gani.
Hivi wewe ni mtumishi wa Umma kweli au unamtukana mwenzako tu kuwa hana akili!! Tatizo linaloongelewa hapa ni kweli na wala sio siasa. Hebu sometimes tujaribu kukubali mapungufu kwa kuyafanyia kazi kuliko kukataa na kupelekea kuendelea kuwepo na matatizo.
 
Wadau wa jamii forum hili suala la kutopatikana kwa salary slip kwa muda mrefu ni tatizo kubwa sana. Mimi mwenyewe ni mtumishi wa serikali na nina ushahidi na hilo maana salary slip ya mwisho kuipata mwaka huu ni ya mwezi wa 4 mwaka huu 2016. Na baada ya hapo ndio sijapata tena hadi kufulia December hii. Na si mimi tu ni wafanyakazi wote ktk Taasisi ninayofanyia kazi nao wote hawajapata. Yaani sielewi tatizo ni nini!!
ingia watumishi portal
 
Wadau wa jamii forum hili suala la kutopatikana kwa salary slip kwa muda mrefu ni tatizo kubwa sana. Mimi mwenyewe ni mtumishi wa serikali na nina ushahidi na hilo maana salary slip ya mwisho kuipata mwaka huu ni ya mwezi wa 4 mwaka huu 2016. Na baada ya hapo ndio sijapata tena hadi kufulia December hii. Na si mimi tu ni wafanyakazi wote ktk Taasisi ninayofanyia kazi nao wote hawajapata. Yaani sielewi tatizo ni nini!!
Mkuu kweli ,ebu toa maelekezo vizuri utuokoe
Ingia
www.utumishi.go.tz
Kushoto tafuta watumishi portal, kisha jisajili. Ili kujisajili utahitaji
1. Email yako
2. Check no (hii ndo itakua na taarifa zako)
3. Password
Ukishajisajili sasa utaweza ku Log in katika hiyo portal.
Kiufupi portal yao wamejitahidi kwa level yetu, iko simple na rahisi kutumia, wana
1. Taarifa zako (hapa ndipo kuna kipengele cha salary slip)
2. Option ya kutafta mtu wa kubadili kituo cha kazi
3. Sehem ya kuwasilisha malalamiko na kufuatilia
 
<< NIMEWAHI KUULIZA HILI JAMBO MAANA MKE WANGU ALIHITAJI KUKOPA NA HAJAPATA TANGU MWEZI WA 6 2016. NIKAAMBIWA ZIPO MIKONONI MWA PCCB ....>>
Mkeo atakuwa ni mwizi wa mishahara au anatumia cheti kisicho chake kwa hiyo jiandae kama ndiye anaye kulisha.
 
Hiyo si statement printed kuonesha makato ya basic to net salary paid. Sasa ishu ya mhasibu Wa payroll kuprint inasumbua nin? Hakuhitaji tamko hapo......uzembe mwingine uzeee
Huku Private wengi tunazipata kirahisi ukiingia tu kwenye system unaweka details zako unajiprintia yako....huko serekalini nahisi itakua ni mchakato mrefu labda hadi salary slip imfikie mlengwa
 
Mimi nimeingia utumishi.go.tz kuna watumishi portal, nimesajili check no na kuprint... Zipo hadi nov 30 Dec bado
Aisee upupuwapwani shukrani sana kwa kutufumbua macho juu ya hili suala la salary slip. Nami nimefanikiwa kujisajili na kuiona salary slip yangu. Hivyo haina haja tena ya kusubiri hard copy zao hadi zitoke hazina. Ntakuwa na print ya kila mwezi mara wanapoipost. Huu ndio ushauri unaotakiwa kutolewa na wanajamii forum na sio ku comment kwa kutukana kama inavyofanya mijitu mingine.
 
Usione hatar kutafuta pesa na kumpeleka mtoto shule bora..sins uhakika kama kuna mtoto wa waziri anasoma shule za bulee
Niliaminishwa na ninakubaliana na usemi ulio semwa
KAMA ELIMU NI GHALAMA JARIBU UJINGA.
kuna utafiti ulio kua unafanywa na mashirika yasio ya kiserikali yanayo deal na elimu..yamebainisha kua kuna changamoto nyingi kwenye elim bule..hakuna walimu wakutosha..mazingira mabovu kama ..madarasa choo aibu wananchi ndio hawatak kuchangia na ukiwagusa utasikia si elimu..tutakushtaki
 
Aisee upupuwapwani shukrani sana kwa kutufumbua macho juu ya hili suala la salary slip. Nami nimefanikiwa kujisajili na kuiona salary slip yangu. Hivyo haina haja tena ya kusubiri hard copy zao hadi zitoke hazina. Ntakuwa na print ya kila mwezi mara wanapoipost. Huu ndio ushauri unaotakiwa kutolewa na wanajamii forum na sio ku comment kwa kutukana kama inavyofanya mijitu mingine.
Poa mkuu, hii serikali iko ovyo hivo ni sisi kusaidiana huku chini hivi vitu vidogo vidogo, system ipo ila maafisa hawajui/wanaona shida kuelekeza watu
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi wako nimeziona taarifa zangu kiurahisi kwa kweli wamejitahidi kuturahisishia ila ,ila tatizo HR awataki kutuambia kuwa kuna njia ya kuprint salary slip .kweli ubarikiwe kwa kunitoa matongongo

Wengi wao hawajui chochote. Wape taarifa na wengine.
 
Ingia
www.utumishi.go.tz
Kushoto tafuta watumishi portal, kisha jisajili. Ili kujisajili utahitaji
1. Email yako
2. Check no (hii ndo itakua na taarifa zako)
3. Password
Ukishajisajili sasa utaweza ku Log in katika hiyo portal.
Kiufupi portal yao wamejitahidi kwa level yetu, iko simple na rahisi kutumia, wana
1. Taarifa zako (hapa ndipo kuna kipengele cha salary slip)
2. Option ya kutafta mtu wa kubadili kituo cha kazi
3. Sehem ya kuwasilisha malalamiko na kufuatilia


nimekutumia sms inbox , kuna sehemu nakwama , nahitaji msaada
 
Nashauri mwache hizo umma muje Na mawazo mapya, ajira za umma sio final katika kusaka noti. Angalieni Na mambo mengine yenye "tija". Akufukuzaye hakwambii toka.
 
Back
Top Bottom