Torero
Senior Member
- Dec 22, 2017
- 122
- 138
Ndugu,
Nimeona Bora niandike baada kuona kila dalili njema kwa serikali yetu tukufu itapandisha mishahara kwa watumishi wa Umma kwa asilimia walau 100 Kama si mara dufu. Sababu kubwa mwa dalili hizo ni huu ugonjwa wa Corona utapelekea watumishi kuonewa huruma kwa kupunguziwa makali ya maisha.
Kwa bahati nzuri Sana tuna serikali sikivu, na makini Sana inayojali maisha ya watumishi wake. Mwaka huu watumishi wa Uma kaeni tayari kwa mishahara minono
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Bora niandike baada kuona kila dalili njema kwa serikali yetu tukufu itapandisha mishahara kwa watumishi wa Umma kwa asilimia walau 100 Kama si mara dufu. Sababu kubwa mwa dalili hizo ni huu ugonjwa wa Corona utapelekea watumishi kuonewa huruma kwa kupunguziwa makali ya maisha.
Kwa bahati nzuri Sana tuna serikali sikivu, na makini Sana inayojali maisha ya watumishi wake. Mwaka huu watumishi wa Uma kaeni tayari kwa mishahara minono
Sent using Jamii Forums mobile app