Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Heshima wanajamvi,
Kumekuwa na tabia au utaratibu wa mahakama na wakati mwingine Polisi kuweka sharti la dhamana kwa watuhumiwa / washtakiwa kudhaminiwa na watumishi wa serekali.
Naomba kuulizwa watumishi wa umma wana sifa gani za ziada kushinda waTanzania wengine.Kuna waTanzania wengine wana uzito zaidi mahakamani ?.
ikiwa huna mtu anayefanyakazi serekalini basi haki ya dhamana inapotea ?.
Naomba kuwasilisha.
Kumekuwa na tabia au utaratibu wa mahakama na wakati mwingine Polisi kuweka sharti la dhamana kwa watuhumiwa / washtakiwa kudhaminiwa na watumishi wa serekali.
Naomba kuulizwa watumishi wa umma wana sifa gani za ziada kushinda waTanzania wengine.Kuna waTanzania wengine wana uzito zaidi mahakamani ?.
ikiwa huna mtu anayefanyakazi serekalini basi haki ya dhamana inapotea ?.
Naomba kuwasilisha.