Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,344
- 4,167
Aliyeishia darasa la nne ni Mtanzania
Aliyekataa kusoma ni Mtanzania pia
Machinga ni Mtanzania
Wauza Azam lambalamba ni Watanzania
Sandia fundi ni Mtanzania
Makahaba pia ni Watanzania
Ombaomba ni Watanzania
Hayo makundi yote yanahitaji kuangaliwa sawia kama vile nyie mnavyolilia ongezeko la mishahara na marupupu, kama vile wasomi mnavyolazimisha muajiriwe serikalini ndivyo vivyo hivyo hayo makundi yanatarajia ustawi bora toka serikalini.
Mfano:
Bwawa la Nyerere likikamilika ni viwanda vingapi vitajengwa nchini na kupunguza lundo la vijana wasio na elimu wala ajira serikalini kuajiriwa?
Acheni ubinafsi nchi ni ya kila Mtanzania, vumilieni ili wenzenu nao waje kunufaika na hii nchi
Nao pia sana haki kula mema ya ardhi yao!
Aliyekataa kusoma ni Mtanzania pia
Machinga ni Mtanzania
Wauza Azam lambalamba ni Watanzania
Sandia fundi ni Mtanzania
Makahaba pia ni Watanzania
Ombaomba ni Watanzania
Hayo makundi yote yanahitaji kuangaliwa sawia kama vile nyie mnavyolilia ongezeko la mishahara na marupupu, kama vile wasomi mnavyolazimisha muajiriwe serikalini ndivyo vivyo hivyo hayo makundi yanatarajia ustawi bora toka serikalini.
Mfano:
Bwawa la Nyerere likikamilika ni viwanda vingapi vitajengwa nchini na kupunguza lundo la vijana wasio na elimu wala ajira serikalini kuajiriwa?
Acheni ubinafsi nchi ni ya kila Mtanzania, vumilieni ili wenzenu nao waje kunufaika na hii nchi
Nao pia sana haki kula mema ya ardhi yao!