MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
- Thread starter
- #21
T.R.A kuna namnayake yakuwathibitiSuburi TRA
T.R.A kuna namnayake yakuwathibitiSuburi TRA
Leo nilikuwa nabishana na wafanyakazi wa Serikali nikawambia katika utawala huu wasitegemee kuongezewa kiasi chochote cha mshahara zaidi zaidi wategemee uliopo kupunguzwa. Bahati mbaya sana niliokuwa nabishana nao ni makada wa chama na wamedai mwezi huu kutakuwa na increment kwa wafanyakazi.
Sasa ni hivi mi Mzee Msasambegu nikiwa na akili timamu leo naahidi hivi ikiwa serikali itaongeza hata shilingi kwa wafanyakazi terehe 01/12/2017 nitatembea nikiwa nimevaa boksa tu kutoka Ubungo mpaka Posta
Mimi nitatekelezaKuna mwenzako aliahidi ZZK akishinda ubunge 2015 angetembea uchi kutoka Kibaha hadi mjini ila hadi leo tunaona kimya tunasubiri atembee na wewe usije kimbia.
Ahadi ni deni mkuu.
Vyeti fake ndivyo vilikuondoa huko?Na miezi mitatu nilishaondoka huko
Huu tunaita ulemavu wa akiliHongera kwa kukosa vyeti halali vya Baraza la mitihani la taifa ?
Vyeti feki vilikuondoaNa miezi mitatu nilishaondoka huko
Vyeti feki vilikuondoaNa miezi mitatu nilishaondoka huko
BN Upo Sahihi mkuu, watumishi wengi waoga. Tuna amin ktk kuajiliwa na hatuna uthubutu mana mwajiri anaweza fanya au sema lolote.Huu tunaita ulemavu wa akili
MTU akiamua kuacha kazi ili ajiajiri maanake hana vyeti halali vya NECTA?
Watanzania tubadilike hatuwezi kutoka kupitia kuajiriwa
Sijawahi sikia mtu katajirika kwa sababu ya kuajiriwa
Bali kwa sababu ya kujiajiri kwa namna yeyote ile
Sasa wewe unayeamini kuwa anayeenda kujiajiri ana vyeti feki basi endelea kuwa mtumwa ili kila mwezi upate fixed amount
Vyeti vyangu halaliVyeti feki vilikuondoa
Mkuu tatizo watu wanadhani kila anayeacha kazi ni sababu ya vyeti fekiJamani watumish kuacha kazi hakuhusiani na vyeti fake. Kuna watu Akili zao hazijafungwa minyororo. Kikubwa uthubutu ili jupata amani ya moyo na maendeleo kwa ujumla.
Asante Mkuu kwa maneno mazuri.Huu tunaita ulemavu wa akili
MTU akiamua kuacha kazi ili ajiajiri maanake hana vyeti halali vya NECTA?
Watanzania tubadilike hatuwezi kutoka kupitia kuajiriwa
Sijawahi sikia mtu katajirika kwa sababu ya kuajiriwa
Bali kwa sababu ya kujiajiri kwa namna yeyote ile
Sasa wewe unayeamini kuwa anayeenda kujiajiri ana vyeti feki basi endelea kuwa mtumwa ili kila mwezi upate fixed amount