Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 2,919
- 12,174
Ni kweli uwezo huo sina. Wewe unaweza kujadiliana na wehu?
Mwana wa laana ww
Ni kweli uwezo huo sina. Wewe unaweza kujadiliana na wehu?
Tuko pamoja hapa, na inatakiwa waliopo kazina ufanyike uhakiki upyaGood point
😳Kwan tumekukosea nn jamanSorry, naomba niishie hapa huwa sijadiliani jambo lolote na mwalimu.
Nisamehe baby wangu, navyokupenda sasa.Kwan tumekukosea nn jaman
❤️daa,we jamaa una ulimi laini balaa🥰 yaan moyo wangu umetulia ghafla,mihemko ya hasira imeniisha.😜aisee🙌Nisamehe baby wangu, navyokupenda sasa.
Kuna mtu alikuja kuniletea dharau huko juu, shida mpo wengi humu na wengine wamekua kama wehu. Nisamehe sana
Hayo ndio mambo sasa, Mimi na wewe tu. Navyokupenda hujui tu. Nakupenda alafu nakupenda tenadaa,we jamaa una ulimi laini balaa yaan moyo wangu umetulia ghafla,mihemko ya hasira imeniisha.aisee
🤣🤣🤣🤣 Haya bhanaHayo ndio mambo sasa, Mimi na wewe tu. Navyokupenda hujui tu. Nakupenda alafu nakupenda tena
Mkangale?Nimekumbuka kwetu namanyereView attachment 2295823
🤣🤣🤣🤣 watachekaaaaaaMwl wa TGTS F jiandae kwà 280,000
Lile Jambo letu ktk TGTS kwa kuongeza kama ifuatavyo:
B - 62000
C - 60000
D - 55000
E - 50000
F - 45000
G - 30000
H - 25000
I -. 20000
Tunampongeza,kazi iendelee.
Ni vizuri kujua kilichopo kapuni.
Kazi iendelee
#MaendeleoHayanaChama
Wengine watalewa sana na bia zao zle za kibanda na mbuyu naona watakunywa Heinekenhuu mshahara mpaka ukija kutoka tutasikia mengi sana aisee
Hukoo vilio tupuuTupeni ripoti vipi mnacheka ama mnalia.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu, hata hiyo 50 haijafika!Lile Jambo letu ktk TGTS kwa kuongeza kama ifuatavyo:
B - 62000
C - 60000
D - 55000
E - 50000
F - 45000
G - 30000
H - 25000
I -. 20000
Tunampongeza,kazi iendelee.
Ni vizuri kujua kilichopo kapuni.
Kazi iendelee
#MaendeleoHayanaChama