hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
Ili kuongeza kiwango cha uzalendo imehimizwa kila mfanyakazi au mtumishi wa umma kuvaa SARE YA JEZI YA TIMU YA TAIFA kila ikifika ijumaa ya wiki na hili liwe lazima kwa kila mtumishi wa umma haijalishi ni kitengo gani serikali kuu,serikali za mitaa vyombo vya ulinzi na usalama navyo vihusike kwa hili muhimu sana kwa taifa.Watanzania tuendelee kuipenda na kuitumikia nchi yetu na hakuna mtu atakayetoka nje kuja kutujengea nchi yetu zaidi yetu wenyewe.