Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Katika mkutano mmoja wa kampeni hivi karibuni, Lissu alionya juu ya sheria ya kikokotoo ambayo kwa sasa imewekwa pending mpaka 2021, sheria ambayo kwa mujibu wa Lissu itafyeka nusu ya mafao ambavyo mstaafu anastahili kulipwa.
Lissu kawaonya Polisi na watumishi wengine wa umma ambao kwa nafasi zao, wanaweza kutumika kusaidia watu au mtu fulani kusalia madarakani. Kawaeleza kuwa, wakifanya hivyo, wajue siku wakistaafu,nusu ya mafao yao imekwenda na maji.
Mimi naomba niongeze na lile kundi lingine la wasaka vyeo na wasiotazama mbele kuwa hata wao ama watoto wao wanaweza kuja kuwa wahanga wa sheria hii.
Tusitake kuwa kama Wayahudi ambao hawakuelewa lengo la Mungu kuwaletea mwanae Yesu Kristo ili wakombolewe kama ambavyo na sisi tumeletwa huyu Lissu leo hii ili atuongoze katika kujikomboa na ndio maana hata Mungu alimnusuru baada ya shambulio lile.
Tukipuuza maneno haya ya Lissu,ipo siku tutakumbana na ukweli huu kama ambavyo Wayahudi walikumbwa na giza baada ya kumsulubisha Yesu msalabani.
Lissu kawaonya Polisi na watumishi wengine wa umma ambao kwa nafasi zao, wanaweza kutumika kusaidia watu au mtu fulani kusalia madarakani. Kawaeleza kuwa, wakifanya hivyo, wajue siku wakistaafu,nusu ya mafao yao imekwenda na maji.
Mimi naomba niongeze na lile kundi lingine la wasaka vyeo na wasiotazama mbele kuwa hata wao ama watoto wao wanaweza kuja kuwa wahanga wa sheria hii.
Tusitake kuwa kama Wayahudi ambao hawakuelewa lengo la Mungu kuwaletea mwanae Yesu Kristo ili wakombolewe kama ambavyo na sisi tumeletwa huyu Lissu leo hii ili atuongoze katika kujikomboa na ndio maana hata Mungu alimnusuru baada ya shambulio lile.
Tukipuuza maneno haya ya Lissu,ipo siku tutakumbana na ukweli huu kama ambavyo Wayahudi walikumbwa na giza baada ya kumsulubisha Yesu msalabani.