Watumishi wa umma hasa walimu, "mkome kujipendekeza!" yanayowakuta ni matokeo ya uchaguzi wa 2015.

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Wakati mwingine huwa nawashangaa watumishi wa umma mnapolialia kwamba serikali haiwajali.

Wakati wa kampeni 2015, mlijifanya viherehere wa kuwapigia kampeni na mlishapata posho zenu ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi mkuu. Waombaji wengi ambao hawakuwa makada fulani hawakuchaguliwa. Pia mlichokifanya ndani ya vituo vya kupiga kura, tunakifahamu.

Matokeo yake ndo kama hayo. Hata zoezi la vyeti feki wengi mliotumbuliwa ni makada hasa wazee, ila poleni.

Mliambiwa mchague ELIMU ELIMU ELIMU ila ninyi mkachagua HAPA KAZI TU. Hongera na muendelee hivyo hivyo 2020. Siku miradi ya maendeleo ikikamilika, watawakumbuka.

Mei mosi pale Moshi mliahidiwa ila baadae mwaka uliofata mkaambiwa kuwa mlimnukuu vibaya, hata hayo ya Mkuchika ya mei mosi kupanda madaraja mtaambiwa mmemnukuu vibaya.
 
Wakati mwingine huwa nawashangaa watumishi wa umma mnapolialia kwamba serikali haiwajali.

Wakati wa kampeni 2015, mlijifanya viherehere wa kuwapigia kampeni na mlishapata posho zenu ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi mkuu. Waombaji wengi ambao hawakuwa makada fulani hawakuchaguliwa. Pia mlichokifanya ndani ya vituo vya kupiga kura, tunakifahamu.

Matokeo yake ndo kama hayo. Hata zoezi la vyeti feki wengi mliotumbuliwa ni makada hasa wazee, ila poleni.

Mliambiwa mchague ELIMU ELIMU ELIMU ila ninyi mkachagua HAPA KAZI TU. Hongera na muendelee hivyo hivyo 2020. Siku miradi ya maendeleo ikikamilika, watawakumbuka.

Mei mosi pale Moshi mliahidiwa ila baadae mwaka uliofata mkaambiwa kuwa mlimnukuu vibaya, hata hayo ya Mkuchika ya mei mosi kupanda madaraja mtaambiwa mmemnukuu vibaya.
Ulitaka tuchague Chadema? Hao ndiyo wangemaliza kabisa hii nchi ruzuku tu imewashinda vipi hazina ya nchi?!
 
Hivi unazijua hatua za uchaguzi tz? Unafikiri watu hawakuchagua ELIMU,ELIMU,ELIMU? Kama umelala,toka usingizini.
 
Unatukosea ndugu, wengine tena wengi hasa vijana ni wanamageuzi
Wakati mwingine huwa nawashangaa watumishi wa umma mnapolialia kwamba serikali haiwajali.

Wakati wa kampeni 2015, mlijifanya viherehere wa kuwapigia kampeni na mlishapata posho zenu ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi mkuu. Waombaji wengi ambao hawakuwa makada fulani hawakuchaguliwa. Pia mlichokifanya ndani ya vituo vya kupiga kura, tunakifahamu.

Matokeo yake ndo kama hayo. Hata zoezi la vyeti feki wengi mliotumbuliwa ni makada hasa wazee, ila poleni.

Mliambiwa mchague ELIMU ELIMU ELIMU ila ninyi mkachagua HAPA KAZI TU. Hongera na muendelee hivyo hivyo 2020. Siku miradi ya maendeleo ikikamilika, watawakumbuka.

Mei mosi pale Moshi mliahidiwa ila baadae mwaka uliofata mkaambiwa kuwa mlimnukuu vibaya, hata hayo ya Mkuchika ya mei mosi kupanda madaraja mtaambiwa mmemnukuu vibaya.
 
Una uhakika gani ya kuwa watumishi wote hasa hao walimu waliipigia kura ccm? Maana tunavyofahamu kura ya mtu ni siri! Halafu wewe ni nani wa kumpangia mtu achague chama gani cha siasa katika nchi inayofuata misingi ya demokrasia na mfumo wa vyama vingi?

Kama wewe ni mwanachama wa chama cha siasa basi ujitahidi kuwashawishi viongozi wako wapiganie tume huru ya uchaguzi badala ya kuwashutumu watu pasipokuwa na sababu za msingi. By the way, wafanyakazi wanapigania haki zao za msingi kwa mwajiri kwa mujibu wa sheria na sijaona wakiomba msaada kwa chama chochote kile cha siasa.
 
Machungu yako unamalizia kwa watumishi?.watumishi wa nchi hii wanashida kwelikweli,serikali inasema watumishi wake wote wapo laki saba tu,watu wanadhani shida zao huletwa na watumishi wa umma laki saba.Serikali hawalazimishi watumishi hasa walimu kusimamia,watu hutuma maombi,kuna walimu hawajawahi kuomba kusimamia ,wala hawajawahi kulazimishwa kusimamia.Kuna raia wengi tu husimamia uchaguzi.2020 fuatilia matangazo yakitoka uombe ili usaidie kura zisiibiwe.
 
Kakome wewe na mama yako mzazi...
Akili zako kama za huyo mpumbavu mwenzio mwita..
Heshimuni kazi za watu zinazowapa maisha.
Wakati mwingine huwa nawashangaa watumishi wa umma mnapolialia kwamba serikali haiwajali.
Wakati wa kampeni 2015, mlijifanya viherehere wa kuwapigia kampeni na mlishapata posho zenu ikiwa ni pamoja na kusimamia uchaguzi mkuu. Waombaji wengi ambao hawakuwa makada fulani hawakuchaguliwa. Pia mlichokifanya ndani ya vituo vya kupiga kura, tunakifahamu.
Matokeo yake ndo kama hayo. Hata zoezi la vyeti feki wengi mliotumbuliwa ni makada hasa wazee, ila poleni.
Mliambiwa mchague ELIMU ELIMU ELIMU ila ninyi mkachagua HAPA KAZI TU. Hongera na muendelee hivyo hivyo 2020. Siku miradi ya maendeleo ikikamilika, watawakumbuka.
Mei mosi pale Moshi mliahidiwa ila baadae mwaka uliofata mkaambiwa kuwa mlimnukuu vibaya, hata hayo ya Mkuchika ya mei mosi kupanda madaraja mtaambiwa mmemnukuu vibaya.
 
Kuwalaumu walimu ni ujinga wa sawa na PhD kushindwa kunyoosha kiingereza wakati toka Primary hadi degree Tatu unasoma kwa kiingereza

Walimu nchi nzima hawafiki laki Tatu, na katika watumishi wa serikali walimu wanaichukia sana serikali tofauti na unavyofikiria!

Walimu wanaosimamia uchaguzi hata elfu 30 hawafiki.
 
Chizi wewe! Kila kitu kibaya kikitokea mnazingizia waalimu, mtakuja shindwa kwenda maliwato, mtasema walimu.
 
Unataka mwalimu aendeleze upuuzi unaoutaka then akafundishe nini?
 
Polisi ndio kinga ya ccm kubakia madarakani pasipo shukrani wakiwa kama Watumishi nao ni wahanga pia
 
Kuwalaumu walimu ni ujinga wa sawa na PhD kushindwa kunyoosha kiingereza wakati toka Primary hadi degree Tatu unasoma kwa kiingereza

Walimu nchi nzima hawafiki laki Tatu, na katika watumishi wa serikali walimu wanaichukia sana serikali tofauti na unavyofikiria!

Walimu wanaosimamia uchaguzi hata elfu 30 hawafiki.

Hao hao elf 30 kwa kushirikiana na polisi ndio uchangia uchakachuaji wa kura hivo sio wa kuwaonea huruma waliliapo maslai bora wanavuna wapandacho
 
mtoa post yuko sasa,mm jamaa yangu alisimamia aliniambia kuna wazee weng sana hawajui kusoma na kuandika wakiwamo na wamama,sasa kinachofanyika n kwamba makada wa ccm watumia hyo advantage kuwashka mkono il wakawasaidie hapo jamaa anampeleka kwa mgombea wa ccm lkn pia hakuna watu wapumbav kama police,police wamesaidiwa sana na wabunge wa upnzan ktk kuwatetea kuhusu mazingira wanayoish pamoja na maslah yao hasa kpnd cha kikwete na wakabadilishwa vtu vng sana ikiwa na makaz na posho kupandishiwa mishahara lkn hawa hawa wanawanyanyasa sana wabunge wa upnzan wkt wabunge wa ccm ingawa weng wao wako kimya ktk kuwatetea lkn ndio wanaokula maisha ktk nch! polisi n chanzo cha ccm kuendelea kukaa madarakan.
 
Chadema kumaliza matatizo yetu watanzania!
Ebu tupia kidogo baraza lenu la Mawaziri assume presdent kuwa Alkael Mbowe
 
Back
Top Bottom