Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma, chagua CCM 2020 yakukute ya wastaafu wa leo

Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Plus ishu ya kikotooo yaani kukopwa hata kile kidogo ukitegemeacho.
Watumishi wa umma ikiwemo vyombo vya dola wanayo nafuu kubwa ya kuamua hatma ya kustaafu kwao kama hawakujifunza miaka hii 5.Naomba kama awajajifunza wakarudia makosa kipindi cha pili walimie kucha kabisa,yaani mateso yaongezwe Mara 20 zaidi ya awamu ya kwanza.Yaani wakose hata uwezo wa kupanda daladala yaani wasagie meno,ni bora ya maiti zinajitambua.
 
Tena mapolisi na walimu ndio hawajitambui kabisa ccm haijawa na fadhila kwao lakini ndo wanaongoza kuisaidia kama wamerogwa vile
Kama wewe unaona haina fadhila kwao halafu wao wanaona ni bora waichague basi kubali kuna kitu kuhusu uhusiano wao haukijui. Labda wewe kwa kutojua sababu ndio haujitambui.
 
Kama wewe unaona haina fadhila kwao halafu wao wanaona ni bora waichague basi kubali kuna kitu kuhusu uhusiano wao haukijui. Labda wewe kwa kutojua sababu ndio haujitambui.
Wananufaika na nn wako hoi kilife kuliko muuza machungwa posta
 
Nani kama JPM? Hakuna, hao kina TL, Mbowe na Zito ni makuwadi, wamekwisha pumuliwa kwenye shigo zao wataweza kweli kuwaletea maendeleo Watanzania? Ukiona kiongozi anajiuzauza kwenye nchi za nje kama malaya kwenye bar muogope kama ukoma.
 
Pemba yupo pole pole basi wameagizwa wafanya kazi wote kesho wasiendekazini na wanafunzi wasiende shule kwahiyo watumishi wote wa serekali waende ktk mkutano atakao Fanya pole pole ktk ukumbi wa baraza la wakilishi lililopo jamatini wete Pemba kesho asubuhi saa 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo leo umeongea vizuri.
 
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavuna bila kupanda na kujisifu kwamba wanaweza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
1582518636098.png
 
Back
Top Bottom