Watumishi wa Umma badala ya kuomba mwongezewe mishahara ombeni wengine nao waajiriwe

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Aug 28, 2020
2,204
2,083
Ujumbe muhimu kwa Watumishi wa Umma.

Japo kuna baadhi ya watumishi hawatoweza kunielewa nini naamaanisha ila namaanisha kweli.

Kwanza kabisa naomba nieleweke ni hivi mshahara haujawai tosha na wala hautakuja kutosha.

Jambo la msingi ambalo watumishi mnatakiwa kujifunza ni jinsi ya kumeneji mshahara wako. Cash out flow monitoring yako ni muhimu sana ili kuufanya mshahara wako uweze kutosha.

Changamoto iliyopo kwa watumishi walio wengi ni moja tu, watumishi hawezi kumeneji mshahara. They can't monitor their cash out flow.

Watumishi jaribuni kujiongeza pesa mnazolipwa ni nyingi mno, acheni kutumia mishahara yenu vibaya acheni kunywa pombe, acheni kununua vitu vya gharama zinazo zidia mishahara yenu, acheni kukopa, acheni kuishi maisha ya gharama maisha yanayo zidi kipato chenu, watumishi jishughurisheni pia na shughuri zingine katika jamii kama vile kilimo, ufugaji na biashara. Fanya mshahara wako kuwa mtaji kukusaidia kufungua miradi. Acha kuvaa nguo za bei mbaya wakati unajua zinazidia mshahara wako.

Tatizo kubwa linalowakumba watumishi mnajiachia mnoo. Mnaishi maisha ya kukopa tu, utakuta mtumishi, mwezi mzima anaishi kwa kukopa, mshahara ukitoka tu wote anakwenda kulipa deni dukani kisha anaanza kukopa tena. Hayo ndio maisha yake.

Aina hiyo ya maisha niliyo izungumzia hapo sio nzuri na kamwe hutakuja kuona mshahara ukitosha hata mara moja, hata kama ungelipwa milioni 200 kwa mwezi, wewe usiyejua kumeneji mshahara, huwezi ku monitor cash out flow utaishia kuhonga mamilioni, kununua gari ya gharama, kununua mavazi gharama, na kuishi maisha ya gharama bado utarudi palepale kwenye mshahara hautoshi.

Mwisho: Spend what you save and don't spend what you earn.
 
Ujumbe muhimu kwa watumishi wa umma.

Japo kuna baadhi ya watumishi hawatoweza kunielewa nini naamaanisha ila namaanisha kweli...
Short and clear!! Tuache Wafanyakazi tupambane kupigania maslahi yetu maana yapo kisheria na pia kikanuni.

Na wewe na wenzako piganieni haki zenu za kuto kuajiriwa kwa kutumia njia zinazofaa! maana ni wajibu wa Serikali yoyote ile duniani kutengeneza sera na mipango mkakati ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya wahitimu wake.

Usihalalishe maamuzi haramu ya mtu mmoja tu, kuwadhulumu wafanyakazi na pia kushindwa kuajiri kama alivyofanya mtangulizi wake, kuwa ni jambo halali na la kawaida. Suala la kupanda vyeo kwa wafanyakazi lilikuwepo! Alipoingia tu akaanza kuleta uswahili wake. Bora hata huo mshahara wake aache kupandisha!


Lakini ni kwa nini hataki wafanyakazi wapandishwe madaraja? Yaani mtu ameajiriwa mwaka 2014, halafu alingane na wewe wa 2021! Huu ni wendawazimu.

Halafu uachane na huu utaratibu wa kuwapangia watu matumizi yao. Kazi wafanye wao, matumizi uwapangie wewe!! Kwani wewe ni nani!!!
 
Kazi nafanya mimi, jasho natoa mimi, kulaumiwa nilaumiwe mimi.... HELA NIINGIZE MIMI halafu unipangie matumizi

Yaani kabisa kwa mwezi mara moja 'nisichambe koo' na hata 'kasafari lager ka baridi kidogo', aaaah nisamehe kidogo kwenye matumizi sihitaji tafu

Nitachezea mshahara lakini sio kazi mkuu:D

Hela zangu wewe hazikuhusu, angalia hela zako
 
Ujumbe muhimu kwa Watumishi wa Umma.

Japo kuna baadhi ya watumishi hawatoweza kunielewa nini naamaanisha ila namaanisha kweli.

Kwanza kabisa naomba nieleweke ni hivi mshahara haujawai tosha na wala hautakuja kutosha.

Jambo la msingi ambalo watumishi mnatakiwa kujifunza ni jinsi ya kumeneji mshahara wako. Cash out flow monitoring yako ni muhimu sana ili kuufanya mshahara wako uweze kutosha.

Changamoto iliyopo kwa watumishi walio wengi ni moja tu, watumishi hawezi kumeneji mshahara. They can't monitor their cash out flow.

Watumishi jaribuni kujiongeza pesa mnazolipwa ni nyingi mno, acheni kutumia mishahara yenu vibaya acheni kunywa pombe, acheni kununua vitu vya gharama zinazo zidia mishahara yenu, acheni kukopa, acheni kuishi maisha ya gharama maisha yanayo zidi kipato chenu, watumishi jishughurisheni pia na shughuri zingine katika jamii kama vile kilimo, ufugaji na biashara. Fanya mshahara wako kuwa mtaji kukusaidia kufungua miradi. Acha kuvaa nguo za bei mbaya wakati unajua zinazidia mshahara wako.

Tatizo kubwa linalowakumba watumishi mnajiachia mnoo. Mnaishi maisha ya kukopa tu, utakuta mtumishi, mwezi mzima anaishi kwa kukopa, mshahara ukitoka tu wote anakwenda kulipa deni dukani kisha anaanza kukopa tena. Hayo ndio maisha yake.

Aina hiyo ya maisha niliyo izungumzia hapo sio nzuri na kamwe hutakuja kuona mshahara ukitosha hata mara moja, hata kama ungelipwa milioni 200 kwa mwezi, wewe usiyejua kumeneji mshahara, huwezi ku monitor cash out flow utaishia kuhonga mamilioni, kununua gari ya gharama, kununua mavazi gharama, na kuishi maisha ya gharama bado utarudi palepale kwenye mshahara hautoshi.

Mwisho: Spend what you save and don't spend what you earn.
Mkuu hapa umewagusa penyewe, bilashaka wamekuelewa labda kama wanamatatizo ya akili.
Wabinafsi na waroho, wana tamaa sana hawa watu, kuna watu wanaangaikia ajira, wao wanaangaikia kupandishiwa mishahara,
yani hawana shukrani kabisa, ndo maana wanatumbuliwa kila kukicha pengine ni laana.
 
Mkuu hapa umewagusa penyewe, bilashaka wamekuelewa labda kama wanamatatizo ya akili.
Wabinafsi na waroho, wana tamaa sana hawa watu, kuna watu wanaangaikia ajira, wao wanaangaikia kupandishiwa mishahara,
yani hawana shukrani kabisa, ndo maana wanatumbuliwa kila kukicha pengine ni laana.
Kila mtu analohitaji lake. Uhitaji wako haupaswi kuwa kikwazo kwa wengine. Unahitaji ajira hiyo ni level uliyofikia , yeye anahitaji nyongeza ya mshahara kukidhi mahitaji yake.ukipata ajira nawe utapanda ngazi kufikia level ya kudai nyongeza pia.....!!!!!
 
Ujumbe muhimu kwa Watumishi wa Umma.

Japo kuna baadhi ya watumishi hawatoweza kunielewa nini naamaanisha ila namaanisha kweli.

Kwanza kabisa naomba nieleweke ni hivi mshahara haujawai tosha na wala hautakuja kutosha.

Jambo la msingi ambalo watumishi mnatakiwa kujifunza ni jinsi ya kumeneji mshahara wako. Cash out flow monitoring yako ni muhimu sana ili kuufanya mshahara wako uweze kutosha.

Changamoto iliyopo kwa watumishi walio wengi ni moja tu, watumishi hawezi kumeneji mshahara. They can't monitor their cash out flow.

Watumishi jaribuni kujiongeza pesa mnazolipwa ni nyingi mno, acheni kutumia mishahara yenu vibaya acheni kunywa pombe, acheni kununua vitu vya gharama zinazo zidia mishahara yenu, acheni kukopa, acheni kuishi maisha ya gharama maisha yanayo zidi kipato chenu, watumishi jishughurisheni pia na shughuri zingine katika jamii kama vile kilimo, ufugaji na biashara. Fanya mshahara wako kuwa mtaji kukusaidia kufungua miradi. Acha kuvaa nguo za bei mbaya wakati unajua zinazidia mshahara wako.

Tatizo kubwa linalowakumba watumishi mnajiachia mnoo. Mnaishi maisha ya kukopa tu, utakuta mtumishi, mwezi mzima anaishi kwa kukopa, mshahara ukitoka tu wote anakwenda kulipa deni dukani kisha anaanza kukopa tena. Hayo ndio maisha yake.

Aina hiyo ya maisha niliyo izungumzia hapo sio nzuri na kamwe hutakuja kuona mshahara ukitosha hata mara moja, hata kama ungelipwa milioni 200 kwa mwezi, wewe usiyejua kumeneji mshahara, huwezi ku monitor cash out flow utaishia kuhonga mamilioni, kununua gari ya gharama, kununua mavazi gharama, na kuishi maisha ya gharama bado utarudi palepale kwenye mshahara hautoshi.

Mwisho: Spend what you save and don't spend what you earn.
Ni kweli uliyepewa kabla ya kuongezewa mkumbuke ambaye hana wote mle keki ya nchi wote waajiriwa na wasioajiriwa wote ni watanzania
 
Upo sahihi kwenye mipango na bajeti ya pesa kwa watumishi,lakini haupo na hautokua sahihi kamwe kuwazuia kudai haki zao za msingi zilizoanishwa kisheria za kupanda madaraja na kuongezewa mishahara.
 
Hili hoja yako nimeipangua vema kwenye uzi wangu, umekimbia kunijibu umeamua kuja kuanzisha uzi wako.

Nakujibu tena, kupanda mishahara ni function ya uzalishaji wa mfanyakazi. As long as anaproduce ni haki yake kupata incremental ya kile anachozalisha, na hii ni moja wapo ya theory za wages..

Halafu pia, kutokupanda kwa mishahara isiwe ni function ya kwamba kuna vijana hawana ajira huko mitaani.. huu ni upotofu!
 
Ujumbe muhimu kwa Watumishi wa Umma.

Japo kuna baadhi ya watumishi hawatoweza kunielewa nini naamaanisha ila namaanisha kweli.

Kwanza kabisa naomba nieleweke ni hivi mshahara haujawai tosha na wala hautakuja kutosha.

Jambo la msingi ambalo watumishi mnatakiwa kujifunza ni jinsi ya kumeneji mshahara wako. Cash out flow monitoring yako ni muhimu sana ili kuufanya mshahara wako uweze kutosha.

Changamoto iliyopo kwa watumishi walio wengi ni moja tu, watumishi hawezi kumeneji mshahara. They can't monitor their cash out flow.

Watumishi jaribuni kujiongeza pesa mnazolipwa ni nyingi mno, acheni kutumia mishahara yenu vibaya acheni kunywa pombe, acheni kununua vitu vya gharama zinazo zidia mishahara yenu, acheni kukopa, acheni kuishi maisha ya gharama maisha yanayo zidi kipato chenu, watumishi jishughurisheni pia na shughuri zingine katika jamii kama vile kilimo, ufugaji na biashara. Fanya mshahara wako kuwa mtaji kukusaidia kufungua miradi. Acha kuvaa nguo za bei mbaya wakati unajua zinazidia mshahara wako.

Tatizo kubwa linalowakumba watumishi mnajiachia mnoo. Mnaishi maisha ya kukopa tu, utakuta mtumishi, mwezi mzima anaishi kwa kukopa, mshahara ukitoka tu wote anakwenda kulipa deni dukani kisha anaanza kukopa tena. Hayo ndio maisha yake.

Aina hiyo ya maisha niliyo izungumzia hapo sio nzuri na kamwe hutakuja kuona mshahara ukitosha hata mara moja, hata kama ungelipwa milioni 200 kwa mwezi, wewe usiyejua kumeneji mshahara, huwezi ku monitor cash out flow utaishia kuhonga mamilioni, kununua gari ya gharama, kununua mavazi gharama, na kuishi maisha ya gharama bado utarudi palepale kwenye mshahara hautoshi.

Mwisho: Spend what you save and don't spend what you earn.
Wazi zuri lkn kazin atafanya muda upo ilihali unataka afanye shughuli za kilimo na biashara??

Hapo lazima akakope na hii utanisaidia Rais kufikiria upya
 
Hili hoja yako nimeipangua vema kwenye uzi wangu, umekimbia kunijibu umeamua kuja kuanzisha uzi wako.

Nakujibu tena, kupanda mishahara ni function ya uzalishaji wa mfanyakazi. As long as anaproduce ni haki yake kupata incremental ya kile anachozalisha, na hii ni moja wapo ya theory za wages..

Halafu pia, kutokupanda kwa mishahara isiwe ni function ya kwamba kuna vijana hawana ajira huko mitaani.. huu ni upotofu!
unajidai unajua principle za uchumi. Hebu nitengenezee function ambayo inaweza kutupatia increment ya kuwapatia watumishi walimu wa shule za serikali kupitia kazi wanayofanya na output wanayo toa. Na hiyo increment itoke kwenye wanacho kizalisha kila mwaka.
 
unajidai unajua principle za uchumi. Hebu nitengenezee function ambayo inaweza kutupatia increment ya kuwapatia watumishi walimu wa shule za serikali kupitia kazi wanayofanya na output wanayo toa. Na hiyo increment itoke kwenye wanacho kizalisha kila mwaka.
Kama hujui kwamba walimu kuna output wanazalisha hata nikikuwekea hiyo formula haitakusaidia maana tayar una majibu kichwani
 
Kama hujui kwamba walimu kuna output wanazalisha hata nikikuwekea hiyo formula haitakusaidia maana tayar una majibu kichwani
Ingekua ni walimu wa shule za private hilo swali nililo kuuliza ungelijibu kiurahisi. Ni rahisi kuibadilisha output yao into money form. Ni hivi kule wao ufaulu wa wawanafunzi unafanya idadi ya wanafunzi kuongezeka, na mapato ya shule kuongezeka. Hivyo tunaweza kutengeneza model inayohusianisha ufaulu wa wanafunzi na increment ya mshahara.
 
Out put ipi mkuu, itaje hiyo output then convert it into money form.
Mtizamo wako kwamba walimu hawazalishi output upo zaidi kwasababu eti shule za serikali elimu ni bure..

Output ya mwalimu ni kufundisha wanafunzi.. tuelewane hapo kwanza. Sasa kama wewe kufundisha unaona sio output utakuwa una matatizo ya msingi..
 
Ingekua ni walimu wa shule za private hilo swali nililo kuuliza ungelijibu kiurahisi. Ni rahisi kuibadilisha output yao into money form. Ni hivi kule wao ufaulu wa wawanafunzi unafanya idadi ya wanafunzi kuongezeka, na mapato ya shule kuongezeka. Hivyo tunaweza kutengeneza model inayohusianisha ufaulu wa wanafunzi na increment ya mshahara.
Na hapo ndo makosa unayoyafanya, output ni ile.. uwe mwalimu wa private au public.. wote ni wazalishaji kwa sababu huduma wanayotoa ni moja
 
Back
Top Bottom