Watumishi wa TISS huwa si maarufu, Ilikuwaje Marehemu Membe awe maarufu kwa utumishi wa TISS?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,206
12,907
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Yeye mwenyewe ndiye aliyejitangaza kipindi anatangaza Nia kitu ambavyo sio maadili ya usalama wa Taifa hata hivyo mm siamini kama kweli alikuwa ni Kachero
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Wilayani wanajulikana kama na DSO so usiwe mjinga

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
 
Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Akitimiza majukumu yake! Kwani tukisema watumishi walifanya mishen ngumu atatanwa yeye tu?
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Jasusi mbobevu alibobea kiasi kwamba ubobevu wake ukazizidi mabavu mbinu za kuendelea kuwa andakava
 
Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!

Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Niko hapa S....L napata Al Kasus....mzee mmoja anatudadavulia mambo kuhusu hayati Membe....anasema.....

Hao wasiojulikana ni wale wafafuta habari.....

Hao wasiojulikana ni wale waliopo katika operesheni.....

Hao wasiojulikana ni wale WACHAKATA HABARI waliopo maofisini kwao.....

Wale MaTop DG ,DEPUTY wake WANAFAHAMIKA....

Wale wanadiplomasia wako wanaofahamika na wachache....na wako wasiofahamika kabisa......

Huko nyuma hayati Membe alikuwa anafahamika na wachache kwani ameshawahi kuwa MKUU WA CHUO CHA DIPLOMASIA(kawaida kwa mawaziri wa mambo ya nje) na waliokuwa wanamfahamu ni wale waliokuwa wanadili na mambo ga sheria+DIPLOMASIA....mitaani hakujulikana....alikuja kujulikana na wengi miaka michache iliyopita tena kwa KUSEMA MWENYEWE.....

Unakumbuka hayati JPM alipata kumtambulisha DG mstaafu Diwani Athumani Msuya kwa balozi S.SIRRO akiwa IGP kuwa huyo naye ndio "haohao"?!!!!Sirro akatoa macho tu

Hapa ni kuwa Diwani Athumani alishafika nafasi za kuweza kujulikana na kila mtu hata mtoto

Huyu mzee ananitemea haya madini huku vichupa vya kahawa vya shilingi 500 vikiendelea kushambuliwa hapa.....leo ninaweza KUCHELEWA kurudi kwangu kwa Mtogole.....
 
Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Daaah we acha tu.....sisi vijana wengine tunaatamia UPUMBAVU....

Resty easy baba Cecy amen
 
Haya na wewe kwataarifa yako kwenye top 20 best twist since 70's mpaka late 90's huyo maembe hana la maana, kama ni mission ya Kagera wapo wengi wengine walienda mpaka libya...

Kwa leo niishie hapa niandae maandalio ya somo la kesho
Mission ya kagera Jasusi Mabere Marando ndie alikuwa wa kwanza kutinga Kampala kushushu kwa maelezo yake mwenyewe
 
Back
Top Bottom