Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
UTUMISHI warudisheni vijana kazini kama mateso yanatosha miezi sita duh Mungu anawaona mjue
Tukueleweje sasaUTUMISHI warudisheni vijana kazini kama mateso yanatosha miezi sita duh Mungu anawaona mjue
tofautisha barua ya kuitwa kazini na kuthibitishwa kazini? unapata wapi barua ya kuthibitishwa kazini wakati hujafika kazini?
Nani kakwambia waliondoka bila utaratibu?wakipewa barua za kuahirisha ajira,na ushahidi wa kuwafukuza kazi upo kwenye taarifa za utumishi kwenda media,na hata wao wamekuwa wakienda utumishi wanaelezwa hivyo.sasa utumishi wakaieleze mahakama kama imewafukuza au la.mahakama itaamuru warudishwe kazini bila masharti.upo?umesema vyema, na pointi ni hii; kama walifukuzwa bila utaratibu kwa nini waliondoka bila utaratibu, ikiwa waliitwa kwa utaratibu