Watumishi wa Serikali Wapigwa "Stop" kuhudhuria Warsha, Mikutano, makongamano na Semina

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,035
Katika hali isiyo ya kawaida, Waziri Jafo amepiga stop Watumishi wa Umma kuomba vibali ili kuhudhuria Warsha, Mikutano, Makongamano na Semina kwa madai kuwa;

1. Watumishi wana "concentrate" kwenye hizo issues kuliko kuwasaidia Wananchi.

2. Kwamba msimu wa kilimo umeanza na hivyo Wananchi kuhitaji huduma zao

3. Kwamba kuna mafuriko

Naambatanisha barua na video kwa maelezo zaidi.

Athari:
Watumishi kutokuwa "updated" juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na duniani.

Watumishi wa Umma kushindwa "kushare experience" na Wananchi ambao hutumia wawakilishi wao kujifunza ili nao wajifunze (T.O.Ts)

Ufanisi wa Watendaji kupungua ikiwa ni pamoja na morale ya kufanya kazi

Kuzidi kuwaminya Wafanyakazi kimaslahi kwani walikua wakipata posho ambazo husaidia kupunguza makali ya maisha.

Kupunguza mzunguko wa fedha kwenye soko!

BARUA%20YA%20KUSITISHA%20SAFARI%20KUTOKA%20KM%20%20TAMISEMI_1.jpeg
BARUA%20YA%20KUSITISHA%20SAFARI%20KUTOKA%20KM%20%20TAMISEMI_2.jpeg



Kitochi Original
 
Sasa hapo wanafanya maisha ya watumishi kuwa magumu zaid, Hizo washa na seminar pengine wengine huwa wanapata posho.

zaid seminar navyojua huwa ni elimu endelevu kwa mtumishi kuongeza uelewa kwa baadhi ya vitu, unapomnyima ni sawa na kumkosesha haki yake kimsingi,hata mawazir wote wasihudhurie,ujinga mwingine mnafanya ila mnapeleka nchi mahala pabaya tu,sifa zenu na uoga wakutumbuliwa ndio unawafanya muwe mnatoa matamko hata mke wako akikwambia unaweza bisha baadh ya vitu...i hate this
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Waziri Jafo amepiga stop Watumishi wa Umma kuomba vibali ili kuhudhuria Warsha, Mikutano, Makongamano na Semina kwa madai kuwa;

1. Watumishi wana"concentrate" kwenye hizo issues kuliko kuwasaidia Wananchi.

2. Kwamba msimu wa kilimo umeanza na hivyo Wananchi kuhitaji huduma zao

3.Kwamba kuna mafuriko....

Naambatanisha barua na video kwa maelezo zaidi.

Athari:

Watumishi kutokuwa "updated" juu ya mambo mbali mbali yanayoendelea nchini na duniani.

Watumishi wa Umma kushindwa Ku"share experience " na Wananchi ambao hutumia wawakilishi wao kujifunza ili nao wajifunze (T.O.Ts)

Ufanisi wa Watendaji kupungua ikiwa ni pamoja na morale ya kufanya kazi

Kuzidi kuwaminya Wafanyakazi kimaslahi kwani walikua wakipata posho ambazo husaidia kupunguza makali ya maisha.

Kupunguza mzunguko wa fedha kwenye soko!View attachment 1358073View attachment 1358074
View attachment 1358075

Kitochi Original
Duuh......ilainamadhara yake na tayari yanaonekana maana wangekuwa wanapata vijisemina kuna baadhi ya film za ajabu ajabu tusingeziona
 
Tunajuaga muda wa kufutwa na kukataa ila muda wa kurejeshwa hutoambiwa
Yalifutwagwa kipindi fulani na mkuu sijui yalirejeshwa lina yamefutwa tena
Za kuambiwa changanya na zako
 
Serikali iko sawa kabisa kwenye hili.Tena niseme limekuja katazo hili kwa kuchelewa.Watu wafanye kazi na walipwe kwa kazi hizo na si blah blah za safari za kutafutia posho. Hutaki kajiajiri ! HAPA KAZI TU. Hongera DR.JPM kwa hili pia.
Teknolojia mpya inaletwa ofisini mwamtumishi wa umma haujamplekeka semina unafikilia hicho kifaa ulichokileta ataelewa ni jinsi gani? ya kukitumia ndio maana kukawa na semina usiwe unashabikia mambo usioyajuwa kisa raisi wako uchwara
 
Elli,

Aisee hii serikali inaogopa nini?

Acheni kazi za kifala hizo,wafanye kazi wao...

Njoo sekta binafsi,inalipa!

Acheni kazi za kunyanyasana mamaaaeee
 
Back
Top Bottom