ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Wakuu habarini zenu, kuna Walimu wanaosubiri kulipwa madirishani hapa wilayani Mbinga, walimu hao hawakuingiziwa mishahara yao kwenye Akaunti zao, kwa vile ni wapya. Tangu leo asubuhi mpaka sasa wanazungushwa tu na maafisa masuhuri hapa wilayani, mara wanaambiwa wasubiri hakuna kinachoeleweka! Wadau nimegundua maafisa waandamizi wengi serikalini ndio maadui wakubwa wa serikali na ndo wanaosababisha wananchi waichukie serikali yao! Naona wengi hawawajali wananchi kwenye sekta zao za utumishi.
Mytake:
Kama serikali inapenda iendelee kuheshimiwa ni vema ikawadhibiti wafanyakazi wa serikali wanaotumia ofisi kama mali yao binafsi! Vinginevyo serikali ya CCM siku zake zinahesabiwa!
Mytake:
Kama serikali inapenda iendelee kuheshimiwa ni vema ikawadhibiti wafanyakazi wa serikali wanaotumia ofisi kama mali yao binafsi! Vinginevyo serikali ya CCM siku zake zinahesabiwa!