Watumishi wa serikali wagwaya kutembea na katibu kwa kuhofia kuhisiwa wako CHADEMA - MOSHI MUNICIPAL

DR. PHONE

JF-Expert Member
Nov 12, 2012
504
91
Katika kile kinachodaiwa kwamba watumishi wa serikali wanaogopa kuichambua katiba kwa kuogopa kuwa wataonekana kuwa ni wafuasi wa CHADEMA. Hili limebainika hapa mjini Moshi katika kata mojawapo hapa Manispaa sasa je watumishi hawana haki iyo? inawezekana wanachimbwa mkwara wasifanye hivyo au ni vipi na je maoni ya katiba mpya hawatajamani naomba kuwasilisha.
 
Wakatoe maoni yao hamna watakachofanyiwa uoga wao ndo hasara yao.
 
Haya wanapewa nafasi wancheza ama ndo wanaoingia maofisin kwa vimemo?
 
Ni ugonjwa mkubwa sana, kuogopa kutoa ukweli panapotakiwa ukweli. Hao watumishi wanapata hasara wao na watumishi wengine wajao kutokana na kutotoa ukweli wao juu ya katiba waitakayo. Wanataka wasemewe na nani?
 
TUCTA imewashawajenga hofu na kuwaangusha wafanyakazi! Yuko wapi Mgaya? alishapewa chake kimyaa? yale madai ya wafanyakazi yaliyotaka kuanzisha mgomo yametatuliwa lini??Sisi wafanyakazi wa serikali kama hatutang'amua haya tukajua mustakabali wetu kimaslahi tutabaki kulalamika na kudai virushwa mbuzi kwa wananchi! duniani kote wafanyakazi na vyama vya wafanyakazi vinaogopewa na serikali iweje leo wafanyakazi wa Tanzania ndio tunaogopa serikali??
 
Kuna njia nyingi za kutoa maoni ya katika Katiba Mpya. Wengine tumetumia mitandao!(Njia hii ni bora zaidi kama una mapendekezo mengi, kuliko mikutano ya hadhara)
 
Inabidi wabadilike kwa kweli maana mwisho wa siku watajilaumu kwa kukosa kutimiza haki zao za msingi
 
Uongozi wa cdm moshi manispaa umeshindwa kaz ya kuwatumikia wapigakura
 
Uoga ni adui mkubwa wa maendeleo yetu. Mtumishi wa umma anayeogopa kusema na kuwa na ujasiri wa kusimamia kilicho sahihi na haki ana kasoro kubwa ktk utendaji wake na hawezi kutetea maslahi ya umma. Wafanye tafakari, wajue haki zao waondoe uoga!:A S angry:
 
Huyo mtoa thread ana uhakika upi na kutoka chanzo kipi. Vilaza bwana, yaani unakuja humu ki-cdm na hoja uchwara tukusikilze au unataka kusema kuwa yeyote aliyepo Moshi na wenyeji na wageni wote ni cdm!!!!!!!! Au nia yako unatoa taarifa kuwa Chagan Deelopment Menifesto (CDM) ni ya Moshi:target: Wachaga uchwara bwana. Na nani kasema lazima uende kwenye mikutano, wengi hatujaenda na tumetoa maoni kwa namna nyingine. Wewe umetoa au unasubiri Jaji akutafute ukishatoka uchagani uliko, Acheni udhaifu wa fikra na kudhani wote humu ndani mnafanana
 
Katika kile kinachodaiwa kwamba watumishi wa serikali wanaogopa kuichambua katiba kwa kuogopa kuwa wataonekana kuwa ni wafuasi wa CHADEMA. Hili limebainika hapa mjini Moshi katika kata mojawapo hapa Manispaa sasa je watumishi hawana haki iyo? inawezekana wanachimbwa mkwara wasifanye hivyo au ni vipi na je maoni ya katiba mpya hawatajamani naomba kuwasilisha.

Hii inatoakana na NAPE NNAUYE na VOTEs SUPRESSION... Kaihusicha CHADEMA na WACHAGGA wote; Sasa Wachangga hata AMBAO walikuwa hawaijui CHADEMA wamebadnikwa ALAMA kama VILE HITLER alivyofanya

Sasa Wanaogopa KUJIHUSISHA na MASUALA ya KISIASA... WATU KAMA kina NAPE wasingetakiwa KUWA VIONGOZI NCHINI
 
Back
Top Bottom