Watumishi wa kima cha chini Mkoani Singida watoa ya moyoni nyongeza ya mishahara.

Asanteeeeeee kwa shukurani kwa mh Rais maana mmetambua juhudi kubwa anazozifanya katika kuboresha maisha ya watanzania mkiwemo nanyi watumishi wa imma, kikubwa endeleeni kufanya kazi kwa bidii na weledi katika kuwatumikia watanzania kwa kutoa hudumu Bora na stahiki, serikali Ina Imani kubwa nanyi na ndio maana unaendelea kuwajari kila uchumi unaporuhusu kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom