Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Waambieni wizara husika wawanunulie usafiri hiyo kero itakwishaJamaa yuko sahihi, kwa nesi haijakaa sawa, huko kuna magonjwa ya kuambukiza.
Waambieni wizara husika wawanunulie usafiri hiyo kero itakwishaJamaa yuko sahihi, kwa nesi haijakaa sawa, huko kuna magonjwa ya kuambukiza.
Hiyo siyo lazima bali ni optionAnatakiwa abadilishie huko kazini.
Kwakeli sehemu nyingine za dunia inasisitizwa hasa baada ya Covid pandemic imekua kosa la kukufuzisha kazi.Hiyo siyo lazima bali ni option
Hakuna wa kuvua nguo ili mradi hakuna sheria inasema hivyo.wewe nesi wa kiume waambie manes wenzio nguo wavulie huko huko
kwaiyo akili yako inawaza option pekee ni wizara kununua usafiri? ndio akili imewaza ikaishia hapo?Waambieni wizara husika wawanunulie usafiri hiyo kero itakwisha
Hapa Tanzania bado mambo yapo kama yanavyo onekana.Kwakeli sehemu nyingine za dunia inasisitizwa hasa baada ya Covid pandemic imekua kosa la kukufuzisha kazi.
Hutaki kanywe sumu ya panyakwaiyo akili yako inawaza option pekee ni wizara kununua usafiri? ndio akili imewaza ikaishia hapo?
kwakweli ww unaakili fupi kama mkia wa mbuziHutaki kanywe sumu ya panya
Kawaida hospital kuna dressing room. Mtu unakwenda na nguo zako.Ukifika hospital ndo unavaa uniform. Ukimaliza kazi unakwenda kuvaa nguo zako. Zile uniform ulizovaa unaweka kwenye fuko la nguo chafu. Wafuaji watakuja kukusanya na kupeleka washing house. Ulaya raha jamaniiiiiiiiiiii.
mbn sasa wapo wanaokiuka?sheria ya mavazi ya serikali inamtaka kila muhudumu kutokuvaa nguo ya kazi(uniform) nje ya eneo la kazi(hospitali/zahanati/kituo cha afya) tafadhali pitia sheria ya mavazi ya kazi.
Sawa sasa nenda kajinyonge tukwakweli ww unaakili fupi kama mkia wa mbuzi