Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,518
- 5,673
Aise watu wakipata nafasi wanahakikisha wametatua shida zao zote kwanza kupitia mali za umma.Angeconcentrate kujenga infrustructure na kutrain control za ndani mwenyewe hawezi jigawa kila kona huyo maza watanzania watamchosha ni wezi mnoooo