Watumishi majizi na wazembe Sekta ya Afya ndiyo wanaoongoza kumpinga Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima

Angeconcentrate kujenga infrustructure na kutrain control za ndani mwenyewe hawezi jigawa kila kona huyo maza watanzania watamchosha ni wezi mnoooo
Aise watu wakipata nafasi wanahakikisha wametatua shida zao zote kwanza kupitia mali za umma.
 
Anatakiwa aangalie mfumo mzima kutoka juu, sio kukurupuka na watu wa chini. Kama kuna wezi ajiulize kwa nini wanaiba
 
Dkt. Gwajima ni mama wa kipekee sana, hana ubabaishaji na uzalendo wake ni wa kiwango cha juu sana. Mungu ampe maisha marefu aweze kufanya mabadiliko tunayotaka na ikimpendeza Mungu zaidi amuweke zaidi ya hapo.
Kweli mwacheni mama wa Kisukumaaaa afanya kazi aliyopewa na Msukumaaaaa. Wewe mndengereko kinakuuma nini kwenye nchi ya wasukumaaaaaa!
 
Mahospitalini Kuna ubadhirifu wa fedha za umma kupitia WIZI wa MADAWA, kuchukua rushwa kwa Wagonjwa, kufanya uharibifu wa makusudi wa vifaa tiba ili visiwe vinafanya kazi na kisha wagonjwa waelekezwe hospitali binafsi za watumishi hao.

Nani asiyejua namna watumishi wa Afya (madaktari na manesi) wanavyoiibia serikali pesa kwa kuchukuwa pesa kwa wagonjwa. Mnachukua pesa kwa wagonjwa, risiti hamtoi zinaingia mifukoni mwenu halafu mnakuja piga kelele kuwa hospitali haina dawa na vitendanishi ili hali pesa ambazo hospitali ingezitumia kununulia vitu hivyo imeingia mifukoni mwenu? Anachokifanya Dr Dorothy Gwajima ni kuwafumbua macho wananchi, kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa sekta ya umma ya Afya.

Wananchi mnayotendewa Hospitali za serikali siyo mnayotendewa Hospitali binafsi. Daktari ukimkuta Hospitali ya serikali huwa hana Good customer care, lakini daktari huyo huyo mkute Private hospital hutaamini kwa ukarimu atakao kuonyesha.

Kiufupi viongozi MAHOSPITALINI huandaa taarifa nyingi za uongo anapokuja waziri husika. Sasa kumdanganya huyu waziri wa sasa lazima uwe na PhD ya uongo.

Nani asiyejua kuwa madaktari Bingwa wengi ikifika saa nne asubuhi wanaondoka kwenye hospitali za serikali wanakolipwa mishahara na wamakwenda kufanya kazi kwenye hospitali binafsi ndani ya muda wa kazi wa serikali? Kwanini waziri akiwabana mnaanza kulialia?
Hivi ni mwananchi gani asiyefahamu lugha za karaha kutoka kwa wahudumu wa Afya? Hilo nalo waziri anapolikemea mnasema anawasuta?

Vifo vingapi vinasababishwa na uzembe wa watoa huduma mahospitalini? Waziri anapotoa ujumbe kuwa madaktari wapite ward rounds zote inavyotakiwa kwanini mnanuna?

Nenda mahospitalini kipindi hiki mambo yameanza kubadilika kabisa kisa kumhofia Mheshimiwa waziri.

Ukweli ndiyo huo
Yaani serikali inapeleka dawa za kutosha kwenye mahospitali? Lini imefanya hivyo? Hospitali gani imepekekewa dawa za kutosha?
Mnaanzisha thread kutetea upuuzi wa Gwajima wala hamjui muanzie mstari gani? Hii Wizara bora wampe Msukuma.
 
Kamanda acha ungese,unatupia clip za kifala zinakuharibia unaonekana ni mtu wa kubumba
Sasa mtu wa kubumba ni mimi au ni mwenye clip yake?Yaani badala ya kumlaumu alieongea maneno ya ungese unanilaum mimi ambae nasaidia kusambaza ujumbe wake?Kusambaza ujumbe mahususi wa Mh.waziri kuna shida gani?
 
Dawa inaandikwa kwa kufuata Standard Treatment Guidelines ya nchi. Inamaana wewe Mfamasia kituoni kwako hapo hamfuati STG?
Hivi wewe unaelewa kilicho uvunguni mwa wanasiasa na vituo vya kutolea huduma tz hii au umejifungia kabatini unakula filigisi za tausi, usipende jibu Mambo ambayo hujui ,sipo hapa KWA kufuraisha,kumkebehi mtu, fanya utafiti then njoo na majibu hapa,eti kuifuata STG, huo ni mwongozo tu but kila siku dawa bora zinatoka ,kikao siku research zinafanyika, kila siku mabadiliko yanafanyika so Tabibu mzuri lazima kua up to date,Sasa Tabibu atabakije na huo mwongozo wenu ambao ni mzuri but not up to date , dunia inakimbia ,Kama upo hapo wizarani na hujui hili Basi wewe ni kilaza mzoefu
 
Mahospitalini Kuna ubadhirifu wa fedha za umma kupitia WIZI wa MADAWA, kuchukua rushwa kwa Wagonjwa, kufanya uharibifu wa makusudi wa vifaa tiba ili visiwe vinafanya kazi na kisha wagonjwa waelekezwe hospitali binafsi za watumishi hao.

Nani asiyejua namna watumishi wa Afya (madaktari na manesi) wanavyoiibia serikali pesa kwa kuchukuwa pesa kwa wagonjwa. Mnachukua pesa kwa wagonjwa, risiti hamtoi zinaingia mifukoni mwenu halafu mnakuja piga kelele kuwa hospitali haina dawa na vitendanishi ili hali pesa ambazo hospitali ingezitumia kununulia vitu hivyo imeingia mifukoni mwenu? Anachokifanya Dr Dorothy Gwajima ni kuwafumbua macho wananchi, kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa sekta ya umma ya Afya.

Wananchi mnayotendewa Hospitali za serikali siyo mnayotendewa Hospitali binafsi. Daktari ukimkuta Hospitali ya serikali huwa hana Good customer care, lakini daktari huyo huyo mkute Private hospital hutaamini kwa ukarimu atakao kuonyesha.

Kiufupi viongozi MAHOSPITALINI huandaa taarifa nyingi za uongo anapokuja waziri husika. Sasa kumdanganya huyu waziri wa sasa lazima uwe na PhD ya uongo.

Nani asiyejua kuwa madaktari Bingwa wengi ikifika saa nne asubuhi wanaondoka kwenye hospitali za serikali wanakolipwa mishahara na wamakwenda kufanya kazi kwenye hospitali binafsi ndani ya muda wa kazi wa serikali? Kwanini waziri akiwabana mnaanza kulialia?
Hivi ni mwananchi gani asiyefahamu lugha za karaha kutoka kwa wahudumu wa Afya? Hilo nalo waziri anapolikemea mnasema anawasuta?

Vifo vingapi vinasababishwa na uzembe wa watoa huduma mahospitalini? Waziri anapotoa ujumbe kuwa madaktari wapite ward rounds zote inavyotakiwa kwanini mnanuna?

Nenda mahospitalini kipindi hiki mambo yameanza kubadilika kabisa kisa kumhofia Mheshimiwa waziri.

Ukweli ndiyo huo
Ukweli mtupu, hawa madaktari wa serikali yabidi kukamatwa na kunyongwa, wanaudhi sana kuweka maisha ya wananchi rehani.
 
Narudia tena acha Huyu mama awanyooshe, kwenye duka la dawa la hospital ya serikari unaambiwa hakuna dawa, lakini nesi au Dr wa hapo hapo hospitalin hanakuletea hiyo dawa na kuuzia tena kwa ghali. Vitamin k. kwenye duka la dawa la serikali 17000 duka binafsi 5000, kuna ufisadi wa kila namna, kwenye hiyo wizara ya afya.
 
Mahospitalini Kuna ubadhirifu wa fedha za umma kupitia WIZI wa MADAWA, kuchukua rushwa kwa Wagonjwa, kufanya uharibifu wa makusudi wa vifaa tiba ili visiwe vinafanya kazi na kisha wagonjwa waelekezwe hospitali binafsi za watumishi hao.

Nani asiyejua namna watumishi wa Afya (madaktari na manesi) wanavyoiibia serikali pesa kwa kuchukuwa pesa kwa wagonjwa. Mnachukua pesa kwa wagonjwa, risiti hamtoi zinaingia mifukoni mwenu halafu mnakuja piga kelele kuwa hospitali haina dawa na vitendanishi ili hali pesa ambazo hospitali ingezitumia kununulia vitu hivyo imeingia mifukoni mwenu? Anachokifanya Dr Dorothy Gwajima ni kuwafumbua macho wananchi, kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa sekta ya umma ya Afya.

Wananchi mnayotendewa Hospitali za serikali siyo mnayotendewa Hospitali binafsi. Daktari ukimkuta Hospitali ya serikali huwa hana Good customer care, lakini daktari huyo huyo mkute Private hospital hutaamini kwa ukarimu atakao kuonyesha.

Kiufupi viongozi MAHOSPITALINI huandaa taarifa nyingi za uongo anapokuja waziri husika. Sasa kumdanganya huyu waziri wa sasa lazima uwe na PhD ya uongo.

Nani asiyejua kuwa madaktari Bingwa wengi ikifika saa nne asubuhi wanaondoka kwenye hospitali za serikali wanakolipwa mishahara na wamakwenda kufanya kazi kwenye hospitali binafsi ndani ya muda wa kazi wa serikali? Kwanini waziri akiwabana mnaanza kulialia?
Hivi ni mwananchi gani asiyefahamu lugha za karaha kutoka kwa wahudumu wa Afya? Hilo nalo waziri anapolikemea mnasema anawasuta?

Vifo vingapi vinasababishwa na uzembe wa watoa huduma mahospitalini? Waziri anapotoa ujumbe kuwa madaktari wapite ward rounds zote inavyotakiwa kwanini mnanuna?

Nenda mahospitalini kipindi hiki mambo yameanza kubadilika kabisa kisa kumhofia Mheshimiwa waziri.

Ukweli ndiyo huo
Shida kubwa waliokuwa kwenye mfumo ndio hao hao leo wanatamka as if wamekuja kutoka sayari ya Mars.Ukiangalia kauli za JPM ni kana kwamba hajawahi kuwa part ya cabinet wakati alikuwa katika wale wazoefu.
Dr.Gwajima alikuwa kwenye mfumo lakini anavyofoka leo ni kama hakuwepo.
Dr.Gwajima umepata fursa na uitumie kuleta mabdiliko bila mbwembwe na mipasho.
 
Narudia tena acha Huyu mama awanyooshe, kwenye duka la dawa la hospital ya serikari unaambiwa hakuna dawa, lakini nesi au Dr wa hapo hapo hospitalin hanakuletea hiyo dawa na kuuzia tena kwa ghali. Vitamin k. kwenye duka la dawa la serikali 17000 duka binafsi 5000, kuna ufisadi wa kila namna, kwenye hiyo wizara ya afya.
Fateni wanasiasa , mtanyohoka ,so Kama waijua dawa maana yake wajua na tatizo lako why usinunue Iyo dawa ya elf 5000 huko madukani na je wajua kwamba dawa Bei yake huendana na ubora kutokana na nchi ilipotengenezwa, vitam k iliyotengenezwa kenya ,italy haiwezi kuwa sawa KWA Bei ubora na nchi nyingine japo zote ni vit k , Sasa kalia umbea penda vya Bei rahisi kuliko mwili wako, mungu akuponye haraka hiyo coagulopathy
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom