Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Nimekuwa nikikutana na watu mabalimbali ambao wameajiriwa katika jeshi ya police. Maana yao wengi na maasikari.
Hawa watu tunapozungumza nao kiurafiki wanalalamikia hali za uchumi na mazingira yao ya kazi. Nimekutanaa na wengi wanaolalamiki uchumi, vyuma kukaza,, mishahara na mazingira mabovu ya kazi. Yani hata kabla hujamuuliza anaanza kukuambia mwenyewe kuwa hali ilivyo ngumu.
Sasa kinachonishangaza. Hawa hawa wanaolalamika hali ni ngumu, wapo tiyari kuwapiga kipigo cha mbwa koko wanaotetea maslahi yao huku wakitumia nguvu nyingi kuwalinda na kuwakingia kifua wanaomimya maslai yao.
Hii hata haihitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa. Mnahitaji na nyie mjitafakari kama mnachofanya kinamanufaa katika jamii zenu, vizazi vyenu na nyinyi binafsi.
Nimeandika hii sababu nakereka kila napokutana na asikari tukipiga stori kidogo tu lazima alalamike vyuma vimekaza wakati alayevikaza wanamjua na wanamkingia kifua. Huu nao ni ujinga uliopitiliza.
Hawa watu tunapozungumza nao kiurafiki wanalalamikia hali za uchumi na mazingira yao ya kazi. Nimekutanaa na wengi wanaolalamiki uchumi, vyuma kukaza,, mishahara na mazingira mabovu ya kazi. Yani hata kabla hujamuuliza anaanza kukuambia mwenyewe kuwa hali ilivyo ngumu.
Sasa kinachonishangaza. Hawa hawa wanaolalamika hali ni ngumu, wapo tiyari kuwapiga kipigo cha mbwa koko wanaotetea maslahi yao huku wakitumia nguvu nyingi kuwalinda na kuwakingia kifua wanaomimya maslai yao.
Hii hata haihitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa. Mnahitaji na nyie mjitafakari kama mnachofanya kinamanufaa katika jamii zenu, vizazi vyenu na nyinyi binafsi.
Nimeandika hii sababu nakereka kila napokutana na asikari tukipiga stori kidogo tu lazima alalamike vyuma vimekaza wakati alayevikaza wanamjua na wanamkingia kifua. Huu nao ni ujinga uliopitiliza.