Uhakiki wa watumishi hewa wakamilika, ahadi ya Magufuli ya miezi 2 yatimia

nkanga chief

JF-Expert Member
May 31, 2016
2,084
1,620
Jana Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisema zoezi la uhakiki wa watumishi hewa limekamilika hivyo serikali yaanza kutoa ajira. Aliyasema hayo akiwa wanaongea na watumishi wa Ilala DSM kuwa watumishi waliopo ni halali na zoezi la kuwahakiki limeisha.

Mungu ibariki Tanzania
 
Awapi skiliza vyombo vya habari leo sleimani jafo naibu waziri amewaagiza ma dc na wakuu wa mikoa kuhakiki watumishi wote waliopo masomoni ili isije ikatokea kukawepo na watumishi hewa kwa kisingizio cha kwenda masomoni sasa najiuliza swali kwani uwo uwakiki walio kuwa wanaufanya miezi yote miwili ni upi au watumishi gani au kunawatumishi tofauti na hao walio hakikiwa inashangaza sana
 
Awapi skiliza vyombo vya habari leo sleimani jafo naibu waziri amewaagiza ma dc na wakuu wa mikoa kuhakiki watumishi wote waliopo masomoni ili isije ikatokea kukawepo na watumishi hewa kwa kisingizio cha kwenda masomoni sasa najiuliza swali kwani uwo uwakiki walio kuwa wanaufanya miezi yote miwili ni upi au watumishi gani au kunawatumishi tofauti na hao walio hakikiwa inashangaza sana
hahaha kila mtu anakuja na lake barrier of communication
 
Jana Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisema zoezi la uhakiki wa watumishi hewa limekamilika hivyo serikali yaanza kutoa ajira. Aliyasema hayo akiwa wanaongea na watumishi wa Ilala DSM kuwa watumishi waliopo ni halali na zoezi la kuwahakiki limeisha.

Mungu ibariki Tanzania


Ahadi ni deni....!!!

1: Promotion sasa kwa kauli ya Waziri Mkuu zitatolewa ASAP..!!
2: Ajira mpya kwa kauli hii ya Waziri Mkuu sasa ni rasmi zitaanza kutolewa ASAP...!!

Wafanyakazi, promotion ni haki yenu.. sasa mkadai...!! Wale ambao ajira mpya zao zilisimamishwa, na wana vigezo, walipita interview.. basi fuatilieni mpate ajira..!!

Waziri Mkuu akisema ndio kauli ya Serikali...!!

Nakala:
1: Waziri wa UTUMISHI wa Umma
2: Katibu Mkuu, Wizara ya Utumishi wa Umma... #Kivukoni Road,

Dar si salamaaa( Promotion & ajira mpya zisipotoka)
Dar is Salamaaa...!!!
(Promotion & ajira mpya zikitoka)

Wenye haki wapewe haki yaooo sasa...!!
 
Awapi skiliza vyombo vya habari leo sleimani jafo naibu waziri amewaagiza ma dc na wakuu wa mikoa kuhakiki watumishi wote waliopo masomoni ili isije ikatokea kukawepo na watumishi hewa kwa kisingizio cha kwenda masomoni sasa najiuliza swali kwani uwo uwakiki walio kuwa wanaufanya miezi yote miwili ni upi au watumishi gani au kunawatumishi tofauti na hao walio hakikiwa inashangaza sana
hii ni ya leo mkuu, mbona visingizio vingi, ametamka akiwa wap mkuu
 
Jana Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisema zoezi la uhakiki wa watumishi hewa limekamilika hivyo serikali yaanza kutoa ajira. Aliyasema hayo akiwa wanaongea na watumishi wa Ilala DSM kuwa watumishi waliopo ni halali na zoezi la kuwahakiki limeisha.

Mungu ibariki Tanzania
hamna mkuu siyo hivyo. tabu hela zilikuwa hamna na bado hamna.

punde kabla ya kuanza kuajiri (au baada ya kuajiri wawili watatu) "watagundua" kuna madudu mengine watasitisha zoezi la uajiri.

duara litaendelea, labda hadi waliolala watakapoamka!
 
Hatujui kesho itakuaje maana dira ya maendeleo haieleweki. Mpaka mkulukulu aamue anatakaje!!! Kunakukagua mali za watumishi Pia!! Very disturbing kwakweli
 
Back
Top Bottom