beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Wizara ya Afya imesema watumishi 7 wa sekta ya afya nchini humo wamethibitishwa kupata maambukizi ya COVID19
Waliopata Virusi hivyo ni manesi 3, madaktari 2, na wafanyakazi 2 wa ngazi ya juu. Kwa mujibu wa Wizara, wamelazwa Hospitali na wanaendelea vizuri
Wataalamu wapo katika maeneo mbalimbali ambapo watumishi wamekutwa na COVID19 kuchunguza kilichopelekea wapate maambukizi
Hadi sasa, Uganda imerekodi visa 417 vya Corona na waliopona wamefikia 72
Waliopata Virusi hivyo ni manesi 3, madaktari 2, na wafanyakazi 2 wa ngazi ya juu. Kwa mujibu wa Wizara, wamelazwa Hospitali na wanaendelea vizuri
Wataalamu wapo katika maeneo mbalimbali ambapo watumishi wamekutwa na COVID19 kuchunguza kilichopelekea wapate maambukizi
Hadi sasa, Uganda imerekodi visa 417 vya Corona na waliopona wamefikia 72