TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Hakuna aliye juu ya sheria,ili muafaka ufikie ni muda mwafaka sasa watumishi wa umma kuiga tabia ya mawaziri ya kupanda majukwani na kuhutubia mikutano ya vyama vya siasa mpaka katibu mkuu kiongozi na katibu wa management na utumishi wa umma watakapo ona umuhimu wa ku-balance situation.